doup
JF-Expert Member
- Feb 26, 2009
- 2,706
- 2,861
Nasikiliza Leo tena ya Cloude FM;
Mdau mmoja karipoti, eneo hilo limekuwa hatari sana kwa wawindaji; ukisimama tu na gari wanakuja mbio na kondom mkononi, na promo inapigwa kuna body morphological structure mbali mbali pia.
mdau(Mwanamke) kilichomkwaza alimuona binti wa kati ya miaka 15 hivi pembeni ya barabara kama anataka kuvuka vile, akasima! mara binti akaja mbio kifuwa wazi kuom-oyesha kuwa mzigo ni saa nne. binti alipomwona ni mwanamke alimmpa bonge la mfyonyo!!. Nasikia hapo hakuna kulala mchana na usiku.
Mdau mmoja karipoti, eneo hilo limekuwa hatari sana kwa wawindaji; ukisimama tu na gari wanakuja mbio na kondom mkononi, na promo inapigwa kuna body morphological structure mbali mbali pia.
mdau(Mwanamke) kilichomkwaza alimuona binti wa kati ya miaka 15 hivi pembeni ya barabara kama anataka kuvuka vile, akasima! mara binti akaja mbio kifuwa wazi kuom-oyesha kuwa mzigo ni saa nne. binti alipomwona ni mwanamke alimmpa bonge la mfyonyo!!. Nasikia hapo hakuna kulala mchana na usiku.