Sio bahati hili ni pepo sasa, najitoa vipi?

Sio bahati hili ni pepo sasa, najitoa vipi?

Poor Brain

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2019
Posts
19,644
Reaction score
40,546
Wakuu sasa hii ni too much..

Najaribu kuheshimu watu hapa ambao kimakamo unaona kabisa ni kama dada yangu au mama yangu mdogo ila mambo niliyokutana nayo nashangaa naona sasa ni pepo.

Hivi inakuaje mtu mzima na akili zako unajua kabisa una mume, bado haitoshi una watoto, bado tuu mwanaume wako anatimiza kila haja kwako.

Lakini wewe utosheki unatengenezea vijana mazingira ya kukukula how.

Nilikua napenda sana ila now its too much aiseee. Sasa hadi naogopa kutoa namba au ikiwezekana nifute kabisa namba zangu kwenye hili bango hapa nje..

Vijana wenzangu tupambane sana sana hata kama unapitia mazingira ya ushawishi kama yangu usichukulie mtelezo kuona ni kitonga.

Jua kuna mwanaume mwenzako behind anahangaikia sana hiyo familia.

Lakini nirudi kwa mafaza .. huwa tunazingua wapi mpaka hawa shangazi zetu wanakua hivi,

Kusema ni ubize wa kutafuta pesa au ni nini hasa...
Tukumbuke kuishi wakuu, tusiwe bize kiasi hicho maana tunapoelekea mnaweza kutuua tu wakuu maana kama mimi kuna mazingira mengine siwezi hata kujizuia najikuta tayari nipo ndani ...

Kipindi nachopitia kwa sasa ni kigumu maana nipo najitunza (semen retention) ila naona yatanishinda

Vishu Mtata
Grahams
 
Unajitunza sio?

769D18E6-FB8E-476A-A53E-B1E2471BCFF5.jpeg
 
Wakuu sasa hii ni too much..

Najaribu kuheshimu watu hapa ambao kimakamo unaona kabisa ni kama dada yangu au mama yangu mdogo ila mambo niliyokutana nayo nashangaa naona sasa ni pepo.

Hivi inakuaje mtu mzima na akili zako unajua kabisa una mume, bado haitoshi una watoto, bado tuu mwanaume wako anatimiza kila haja kwako.

Lakini wewe utosheki unatengenezea vijana mazingira ya kukukula how.

Nilikua napenda sana ila now its too much aiseee. Sasa hadi naogopa kutoa namba au ikiwezekana nifute kabisa namba zangu kwenye hili bango hapa nje..

Vijana wenzangu tupambane sana sana hata kama unapitia mazingira ya ushawishi kama yangu usichukulie mtelezo kuona ni kitonga.

Jua kuna mwanaume mwenzako behind anahangaikia sana hiyo familia.

Lakini nirudi kwa mafaza .. huwa tunazingua wapi mpaka hawa shangazi zetu wanakua hivi,

Kusema ni ubize wa kutafuta pesa au ni nini hasa...
Tukumbuke kuishi wakuu, tusiwe bize kiasi hicho maana tunapoelekea mnaweza kutuua tu wakuu maana kama mimi kuna mazingira mengine siwezi hata kujizuia najikuta tayari nipo ndani ...

Kipindi nachopitia kwa sasa ni kigumu maana nipo najitunza (semen retention) ila naona yatanishinda

Vishu Mtata
Grahams
Inafikirisha sana
 
Kama umelijua hilo basi upo katika hatua nzuri bwanamdogo.

Hakuna sifa yoyote ya kula nyapu nyingi zaidi ya kujiletea matatizo mlangoni pako, wake za watu hasa hao walioenda age ni hatari zaidi kijana.

Mtu anapambania mke na wanae 4 afu wewe kindezi unamla mkewe burebure.

Kula mishangazi iliyo single, wake ,za watu achana nao, wengi wetu hatuwezi kucontrol hasira mkuu.
 
Back
Top Bottom