Sio bahati hili ni pepo sasa, najitoa vipi?

Sio bahati hili ni pepo sasa, najitoa vipi?

Madingi lai wapo busy kutafuta kula ya familia maradhi ya presha,kisukari na stress za maisha nazo huondoa mshawasha. Pia kuna baadhi ya wanawake kuwapa madingi lai papuchi kwa siku wazitakazo wao.

Mwisho wa siku madingi lai hukata tamaa ya kuomba papuchi na kuamua kutoa huduma kwa familia tu. Papuchi anaipata kwa jini mahaba🤣🤣
Daaah hi matrix ni ngumu sana kuelewa mkuu..

Inamaana hata mimi kuna kipindi itatokea hvo hvo an

Sitaki kuamini aisee
 
Mkuu sio mimi aiseeee
Mii naapa yaan takua nakiwasha kama sina akili nzuri dadek
Mkuu tatizo afya ikiyumba hata bololo halitokuwa na nguvu, kuna mshkaji wangu ndio kwanza yupo 20 lakini kisukari kimemfanya abaki kulia tu.
 
Mkuu tatizo afya ikiyumba hata bololo halitokuwa na nguvu, kuna mshkaji wangu ndio kwanza yupo 20 lakini kisukari kimemfanya abaki kulia tu.
Duuuh kaka alifanyaje huyo jamaa mbona hatarr hiyo mkuu....

Mbona unanitisha kaka
 
Mkuu even you kuna mambo kukataa ngumu

Assume leo mchana nusu nusu yule mmama anipe kwa lazima..

Yaan mtu kafunga mlango paaah alafu anaanza kuniuliza kabila langu huku ananivuta vuta mkuu
Mwanaume habakwi bwanamdogo.

We dogo inaonekana una mwili mdogo mdogo sana, howcomes mwanamke atishie kukubaka.??😂😂
 
Wakuu sasa hii ni too much..

Najaribu kuheshimu watu hapa ambao kimakamo unaona kabisa ni kama dada yangu au mama yangu mdogo ila mambo niliyokutana nayo nashangaa naona sasa ni pepo.

Hivi inakuaje mtu mzima na akili zako unajua kabisa una mume, bado haitoshi una watoto, bado tuu mwanaume wako anatimiza kila haja kwako.

Lakini wewe utosheki unatengenezea vijana mazingira ya kukukula how.

Nilikua napenda sana ila now its too much aiseee. Sasa hadi naogopa kutoa namba au ikiwezekana nifute kabisa namba zangu kwenye hili bango hapa nje..

Vijana wenzangu tupambane sana sana hata kama unapitia mazingira ya ushawishi kama yangu usichukulie mtelezo kuona ni kitonga.

Jua kuna mwanaume mwenzako behind anahangaikia sana hiyo familia.

Lakini nirudi kwa mafaza .. huwa tunazingua wapi mpaka hawa shangazi zetu wanakua hivi,

Kusema ni ubize wa kutafuta pesa au ni nini hasa...
Tukumbuke kuishi wakuu, tusiwe bize kiasi hicho maana tunapoelekea mnaweza kutuua tu wakuu maana kama mimi kuna mazingira mengine siwezi hata kujizuia najikuta tayari nipo ndani ...

Kipindi nachopitia kwa sasa ni kigumu maana nipo najitunza (semen retention) ila naona yatanishinda

Vishu Mtata
Grahams
Wito wangu kwako, hata kama mke wa mtu amekujia usiku wa manane na khanga moja ili umtafune jitahidi kumkwepa

Adhabu za Kulala na Mke wa mtu ni kubwa ukifumaniwa

Kwasisi Wazee, tukikufumania tunawagandisha tu

Mkiniita kuja kuwasaidia kuwatoa, najifanya sihusiki hadi ujate moto 🤗
 
Middle finger is something that ur supposed tu be awarded a 40 years man, (badala ukae na small chicks) wewe ni mimama tu kama mzabzab
 
raha jipe mwenyewe
 

Attachments

  • FB_IMG_1739130969645.jpg
    FB_IMG_1739130969645.jpg
    50.1 KB · Views: 2
Wakuu sasa hii ni too much..

Najaribu kuheshimu watu hapa ambao kimakamo unaona kabisa ni kama dada yangu au mama yangu mdogo ila mambo niliyokutana nayo nashangaa naona sasa ni pepo.

Hivi inakuaje mtu mzima na akili zako unajua kabisa una mume, bado haitoshi una watoto, bado tuu mwanaume wako anatimiza kila haja kwako.

Lakini wewe utosheki unatengenezea vijana mazingira ya kukukula how.

Nilikua napenda sana ila now its too much aiseee. Sasa hadi naogopa kutoa namba au ikiwezekana nifute kabisa namba zangu kwenye hili bango hapa nje..

Vijana wenzangu tupambane sana sana hata kama unapitia mazingira ya ushawishi kama yangu usichukulie mtelezo kuona ni kitonga.

Jua kuna mwanaume mwenzako behind anahangaikia sana hiyo familia.

Lakini nirudi kwa mafaza .. huwa tunazingua wapi mpaka hawa shangazi zetu wanakua hivi,

Kusema ni ubize wa kutafuta pesa au ni nini hasa...
Tukumbuke kuishi wakuu, tusiwe bize kiasi hicho maana tunapoelekea mnaweza kutuua tu wakuu maana kama mimi kuna mazingira mengine siwezi hata kujizuia najikuta tayari nipo ndani ...

Kipindi nachopitia kwa sasa ni kigumu maana nipo najitunza (semen retention) ila naona yatanishinda

Vishu Mtata
Grahams
Kwenye ndoa Kuna "multiple fine ingredients" if one of important element misses, hayo ndyo matokeo, so usilaumu watu wanao deviate from your perceived norms.
 
Madingi lai wapo busy kutafuta kula ya familia maradhi ya presha,kisukari na stress za maisha nazo huondoa mshawasha. Pia kuna baadhi ya wanawake kuwapa madingi lai papuchi kwa siku wazitakazo wao.

Mwisho wa siku madingi lai hukata tamaa ya kuomba papuchi na kuamua kutoa huduma kwa familia tu. Papuchi anaipata kwa jini mahaba🤣🤣
Mkuu ww ni legend
 
Back
Top Bottom