Sio bahati hili ni pepo sasa, najitoa vipi?

Sio bahati hili ni pepo sasa, najitoa vipi?

Kama umelijua hilo basi upo katika hatua nzuri bwanamdogo.

Hakuna sifa yoyote ya kula nyapu nyingi zaidi ya kujiletea matatizo mlangoni pako, wake za watu hasa hao walioenda age ni hatari zaidi kijana.

Mtu anapambania mke na wanae 4 afu wewe kindezi unamla mkewe burebure.

Kula mishangazi iliyo single, wake ,za watu achana nao, wengi wetu hatuwezi kucontrol hasira mkuu.
Mkuu acha tuu aiseee yaani hapa nawaza sana aiseee
 
Wakuu sasa hii ni too much..

Najaribu kuheshimu watu hapa ambao kimakamo unaona kabisa ni kama dada yangu au mama yangu mdogo ila mambo niliyokutana nayo nashangaa naona sasa ni pepo.

Hivi inakuaje mtu mzima na akili zako unajua kabisa una mume, bado haitoshi una watoto, bado tuu mwanaume wako anatimiza kila haja kwako.

Lakini wewe utosheki unatengenezea vijana mazingira ya kukukula how.

Nilikua napenda sana ila now its too much aiseee. Sasa hadi naogopa kutoa namba au ikiwezekana nifute kabisa namba zangu kwenye hili bango hapa nje..

Vijana wenzangu tupambane sana sana hata kama unapitia mazingira ya ushawishi kama yangu usichukulie mtelezo kuona ni kitonga.

Jua kuna mwanaume mwenzako behind anahangaikia sana hiyo familia.

Lakini nirudi kwa mafaza .. huwa tunazingua wapi mpaka hawa shangazi zetu wanakua hivi,

Kusema ni ubize wa kutafuta pesa au ni nini hasa...
Tukumbuke kuishi wakuu, tusiwe bize kiasi hicho maana tunapoelekea mnaweza kutuua tu wakuu maana kama mimi kuna mazingira mengine siwezi hata kujizuia najikuta tayari nipo ndani ...

Kipindi nachopitia kwa sasa ni kigumu maana nipo najitunza (semen retention) ila naona yatanishinda

Vishu Mtata
Grahams
Jiangalie sana kijana. Kumbuka siku za mwizi huwa zinafika kwa wakati muafaka. Hiyo Poor brain yako isije kuja kufumuliwa na wenye mali unaowabia.
 
Watakutawala tu pale unaporuhusu matarajio yao yatimie,Wanaume wengi wanaogopa kukataa kwa sababu demu anaweza kutangaza wewe huna nguvu...hivyo kuondoa hiyo dhana unajikuta unaenda tu ili kukata mzizi wa fitna. Lakini ukijitambuwa wala hutafikiri mara mbili kwamba hiyo ni mbaya,haijengi afya kwa jamii.
 
Kinachokuwazisha ni tamaa zako na kushindwa kukataa, ila ni rahisi tu kukataa.
Tatizo lako ni tamaa, mshangazi ukikufunulia paja tu unajaa.
Mkuu even you kuna mambo kukataa ngumu

Assume leo mchana nusu nusu yule mmama anipe kwa lazima..

Yaan mtu kafunga mlango paaah alafu anaanza kuniuliza kabila langu huku ananivuta vuta mkuu
 
Jiangalie sana kijana. Kumbuka siku za mwizi huwa zinafika kwa wakati muafaka. Hiyo Poor brain yako isije kuja kufumuliwa na wenye mali unaowabia.
Mkuu kuna muda sio mimi ila ni wao ndo mana nakuja hapa kutoa tahadhali kabisa wakuu ...

Najua lolote litakalotokea nyie ndo mtakaonisaidia
 
Watakutawala tu pale unaporuhusu matarajio yao yatimie,Wanaume wengi wanaogopa kukataa kwa sababu demu anaweza kutangaza wewe huna nguvu...hivyo kuondoa hiyo dhana unajikuta unaenda tu ili kukata mzizi wa fitna. Lakini ukijitambuwa wala hutafikiri mara mbili kwamba hiyo ni mbaya,haijengi afya kwa jamii.
Mkuu kuna maza mmoja hapa mtaani kanitangazia et mimi namtaka kumbe wala..

Yeye ndo kutwa ananisumbua kwa sms ikifika usiku..

Tena utakuta anatuma na picha za kiuno kavaa shanga..

Sasa mtu ka huyu hata ukimkataa lazima akuchafulie
 
  • Kicheko
Reactions: M45
Mkuu, unafanya biashara gani, nataka nifungue nione kama watanisumbua?
Anyway pole sana, changamoto ni sehemu ya maisha, lakini usiruhusu hicho kichwa cha chini kikupangie nini cha kufanya.
 
Apostoo kuna muujiza huku kabla ya tarehe 14,Feb.
f2a7a6d2b6be413093e8033a2ee619e9.jpg
 
Mkuu, unafanya biashara gani, nataka nifungue nione kama watanisumbua?
Anyway pole sana changamoto ni sehemu ya maisha, lakini usiruhusu hicho kichwa cha chini kikupangie nini cha kufanya.
Mkuu kwenye ku balance genye tuu naweza sema nipo 💯 nime control..

Ila sasa kuna matukio yanatokea mpaka unashangaaa..

Nakutana na watu mbali mbali hapa ambao wengi wanajitoa akili makusudi..

Wanaamua tuu kukupandisha genye ili usiwaache ila sasa unajikuta unakaza

Leo imekua too much mkuu.
Mtu anakuchukua vzr tuu.
Unajua unaenda kumfanyia kazi yake na kusepa .

Unafika Kule unakutana na mambo ya ajabu an ile ongea yake nikaona mtu kabadilika an anahema juu juu mpaka nikaanza kuogopa maana nilijua hapa naweza kukabwa
 
Lakini nirudi kwa mafaza .. huwa tunazingua wapi mpaka hawa shangazi zetu wanakua hivi,
Madingi lai wapo busy kutafuta kula ya familia maradhi ya presha,kisukari na stress za maisha nazo huondoa mshawasha. Pia kuna baadhi ya wanawake kuwapa madingi lai papuchi kwa siku wazitakazo wao.

Mwisho wa siku madingi lai hukata tamaa ya kuomba papuchi na kuamua kutoa huduma kwa familia tu. Papuchi anaipata kwa jini mahaba🤣🤣
 
Back
Top Bottom