Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
-
- #21
Mkuu acha tuu aiseee yaani hapa nawaza sana aiseeeKama umelijua hilo basi upo katika hatua nzuri bwanamdogo.
Hakuna sifa yoyote ya kula nyapu nyingi zaidi ya kujiletea matatizo mlangoni pako, wake za watu hasa hao walioenda age ni hatari zaidi kijana.
Mtu anapambania mke na wanae 4 afu wewe kindezi unamla mkewe burebure.
Kula mishangazi iliyo single, wake ,za watu achana nao, wengi wetu hatuwezi kucontrol hasira mkuu.
Kinachokuwazisha ni tamaa zako na kushindwa kukataa, ila ni rahisi tu kukataa.Mkuu acha tuu aiseee yaani hapa nawaza sana aiseee
Jiangalie sana kijana. Kumbuka siku za mwizi huwa zinafika kwa wakati muafaka. Hiyo Poor brain yako isije kuja kufumuliwa na wenye mali unaowabia.Wakuu sasa hii ni too much..
Najaribu kuheshimu watu hapa ambao kimakamo unaona kabisa ni kama dada yangu au mama yangu mdogo ila mambo niliyokutana nayo nashangaa naona sasa ni pepo.
Hivi inakuaje mtu mzima na akili zako unajua kabisa una mume, bado haitoshi una watoto, bado tuu mwanaume wako anatimiza kila haja kwako.
Lakini wewe utosheki unatengenezea vijana mazingira ya kukukula how.
Nilikua napenda sana ila now its too much aiseee. Sasa hadi naogopa kutoa namba au ikiwezekana nifute kabisa namba zangu kwenye hili bango hapa nje..
Vijana wenzangu tupambane sana sana hata kama unapitia mazingira ya ushawishi kama yangu usichukulie mtelezo kuona ni kitonga.
Jua kuna mwanaume mwenzako behind anahangaikia sana hiyo familia.
Lakini nirudi kwa mafaza .. huwa tunazingua wapi mpaka hawa shangazi zetu wanakua hivi,
Kusema ni ubize wa kutafuta pesa au ni nini hasa...
Tukumbuke kuishi wakuu, tusiwe bize kiasi hicho maana tunapoelekea mnaweza kutuua tu wakuu maana kama mimi kuna mazingira mengine siwezi hata kujizuia najikuta tayari nipo ndani ...
Kipindi nachopitia kwa sasa ni kigumu maana nipo najitunza (semen retention) ila naona yatanishinda
Vishu Mtata
Grahams
Mkuu even you kuna mambo kukataa ngumuKinachokuwazisha ni tamaa zako na kushindwa kukataa, ila ni rahisi tu kukataa.
Tatizo lako ni tamaa, mshangazi ukikufunulia paja tu unajaa.
Mkuu kuna muda sio mimi ila ni wao ndo mana nakuja hapa kutoa tahadhali kabisa wakuu ...Jiangalie sana kijana. Kumbuka siku za mwizi huwa zinafika kwa wakati muafaka. Hiyo Poor brain yako isije kuja kufumuliwa na wenye mali unaowabia.
Bango 🤗🤗🤗🤗🤗Tuone hilo bango
Mkuu kuna maza mmoja hapa mtaani kanitangazia et mimi namtaka kumbe wala..Watakutawala tu pale unaporuhusu matarajio yao yatimie,Wanaume wengi wanaogopa kukataa kwa sababu demu anaweza kutangaza wewe huna nguvu...hivyo kuondoa hiyo dhana unajikuta unaenda tu ili kukata mzizi wa fitna. Lakini ukijitambuwa wala hutafikiri mara mbili kwamba hiyo ni mbaya,haijengi afya kwa jamii.
Mkuu nimeona jau maana naweza kuwekewa mtego alafu watu wakaja kunipaka mafytraKwann uache mkuu?
Weee mkuu ujue wewe ni role model wa watu humu jf 😂😂😂Jiamini kama kasongo wewe...
kula uongeze uzoefu
Mbona unaongea seriously hvo mkuu..ILO kwel pepo umekumbuka Kuna kukazwa vzuriii sana
Mkuu kwenye ku balance genye tuu naweza sema nipo 💯 nime control..Mkuu, unafanya biashara gani, nataka nifungue nione kama watanisumbua?
Anyway pole sana changamoto ni sehemu ya maisha, lakini usiruhusu hicho kichwa cha chini kikupangie nini cha kufanya.
Hayo mabuti yangu mkuuApostoo kuna muujiza huku kabla ya tarehe 14,Feb.View attachment 3233634
Madingi lai wapo busy kutafuta kula ya familia maradhi ya presha,kisukari na stress za maisha nazo huondoa mshawasha. Pia kuna baadhi ya wanawake kuwapa madingi lai papuchi kwa siku wazitakazo wao.Lakini nirudi kwa mafaza .. huwa tunazingua wapi mpaka hawa shangazi zetu wanakua hivi,