Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
-
- #41
Daaah hi matrix ni ngumu sana kuelewa mkuu..Madingi lai wapo busy kutafuta kula ya familia maradhi ya presha,kisukari na stress za maisha nazo huondoa mshawasha. Pia kuna baadhi ya wanawake kuwapa madingi lai papuchi kwa siku wazitakazo wao.
Mwisho wa siku madingi lai hukata tamaa ya kuomba papuchi na kuamua kutoa huduma kwa familia tu. Papuchi anaipata kwa jini mahaba🤣🤣
Mkuu V8 ya miaka 20 ilopita ikifika mlima wa Wami na Msata pale lazima lipate boost🤣🤣Daaah hi matrix ni ngumu sana kuelewa mkuu..
Inamaana hata mimi kuna kipindi itatokea hvo hvo an
Sitaki kuamini aisee
Mkuu sio mimi aiseeeeMkuu V8 ya miaka 20 ilopita ikifika mlima wa Wami na Msata pale lazima lipate boost🤣🤣
Mkuu tatizo afya ikiyumba hata bololo halitokuwa na nguvu, kuna mshkaji wangu ndio kwanza yupo 20 lakini kisukari kimemfanya abaki kulia tu.Mkuu sio mimi aiseeee
Mii naapa yaan takua nakiwasha kama sina akili nzuri dadek
Duuuh kaka alifanyaje huyo jamaa mbona hatarr hiyo mkuu....Mkuu tatizo afya ikiyumba hata bololo halitokuwa na nguvu, kuna mshkaji wangu ndio kwanza yupo 20 lakini kisukari kimemfanya abaki kulia tu.
Mwanaume habakwi bwanamdogo.Mkuu even you kuna mambo kukataa ngumu
Assume leo mchana nusu nusu yule mmama anipe kwa lazima..
Yaan mtu kafunga mlango paaah alafu anaanza kuniuliza kabila langu huku ananivuta vuta mkuu
Wito wangu kwako, hata kama mke wa mtu amekujia usiku wa manane na khanga moja ili umtafune jitahidi kumkwepaWakuu sasa hii ni too much..
Najaribu kuheshimu watu hapa ambao kimakamo unaona kabisa ni kama dada yangu au mama yangu mdogo ila mambo niliyokutana nayo nashangaa naona sasa ni pepo.
Hivi inakuaje mtu mzima na akili zako unajua kabisa una mume, bado haitoshi una watoto, bado tuu mwanaume wako anatimiza kila haja kwako.
Lakini wewe utosheki unatengenezea vijana mazingira ya kukukula how.
Nilikua napenda sana ila now its too much aiseee. Sasa hadi naogopa kutoa namba au ikiwezekana nifute kabisa namba zangu kwenye hili bango hapa nje..
Vijana wenzangu tupambane sana sana hata kama unapitia mazingira ya ushawishi kama yangu usichukulie mtelezo kuona ni kitonga.
Jua kuna mwanaume mwenzako behind anahangaikia sana hiyo familia.
Lakini nirudi kwa mafaza .. huwa tunazingua wapi mpaka hawa shangazi zetu wanakua hivi,
Kusema ni ubize wa kutafuta pesa au ni nini hasa...
Tukumbuke kuishi wakuu, tusiwe bize kiasi hicho maana tunapoelekea mnaweza kutuua tu wakuu maana kama mimi kuna mazingira mengine siwezi hata kujizuia najikuta tayari nipo ndani ...
Kipindi nachopitia kwa sasa ni kigumu maana nipo najitunza (semen retention) ila naona yatanishinda
Vishu Mtata
Grahams
😂
Kwenye ndoa Kuna "multiple fine ingredients" if one of important element misses, hayo ndyo matokeo, so usilaumu watu wanao deviate from your perceived norms.Wakuu sasa hii ni too much..
Najaribu kuheshimu watu hapa ambao kimakamo unaona kabisa ni kama dada yangu au mama yangu mdogo ila mambo niliyokutana nayo nashangaa naona sasa ni pepo.
Hivi inakuaje mtu mzima na akili zako unajua kabisa una mume, bado haitoshi una watoto, bado tuu mwanaume wako anatimiza kila haja kwako.
Lakini wewe utosheki unatengenezea vijana mazingira ya kukukula how.
Nilikua napenda sana ila now its too much aiseee. Sasa hadi naogopa kutoa namba au ikiwezekana nifute kabisa namba zangu kwenye hili bango hapa nje..
Vijana wenzangu tupambane sana sana hata kama unapitia mazingira ya ushawishi kama yangu usichukulie mtelezo kuona ni kitonga.
Jua kuna mwanaume mwenzako behind anahangaikia sana hiyo familia.
Lakini nirudi kwa mafaza .. huwa tunazingua wapi mpaka hawa shangazi zetu wanakua hivi,
Kusema ni ubize wa kutafuta pesa au ni nini hasa...
Tukumbuke kuishi wakuu, tusiwe bize kiasi hicho maana tunapoelekea mnaweza kutuua tu wakuu maana kama mimi kuna mazingira mengine siwezi hata kujizuia najikuta tayari nipo ndani ...
Kipindi nachopitia kwa sasa ni kigumu maana nipo najitunza (semen retention) ila naona yatanishinda
Vishu Mtata
Grahams
Mkuu ww ni legendMadingi lai wapo busy kutafuta kula ya familia maradhi ya presha,kisukari na stress za maisha nazo huondoa mshawasha. Pia kuna baadhi ya wanawake kuwapa madingi lai papuchi kwa siku wazitakazo wao.
Mwisho wa siku madingi lai hukata tamaa ya kuomba papuchi na kuamua kutoa huduma kwa familia tu. Papuchi anaipata kwa jini mahaba🤣🤣