KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Unapokuwa binadamu mwenye uwezo mzuri wa akili lazima ujue kuchuja vitu na lakuongea si kila jambo nilakutiririka tu!.
Kuhusiana na mtu ni sehemu ya utimilifu wa hisia pamoja na akili. Baadhi ya madhaifu ya mpenzi wako unatakiwa kuwa cover, mengine mwambie ajirekebishe na mengine ishinayo alasivyo utashangaa utapigwa na kitu kizito kisogoni ukiwa mpayukaji wa kila kitu.
Na mwenye kusoma na asome nakuelewa akina nungunungu tulieni adabu iwakae.
Kuhusiana na mtu ni sehemu ya utimilifu wa hisia pamoja na akili. Baadhi ya madhaifu ya mpenzi wako unatakiwa kuwa cover, mengine mwambie ajirekebishe na mengine ishinayo alasivyo utashangaa utapigwa na kitu kizito kisogoni ukiwa mpayukaji wa kila kitu.
Na mwenye kusoma na asome nakuelewa akina nungunungu tulieni adabu iwakae.