Sio kila kikuvutiacho machoni kinafaa NIMEKOMA

the numb 1

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2020
Posts
1,562
Reaction score
2,902
Nakumbuka miezi kadhaa iliyopita nilikutana na mwanamke mmoja hakika alinivutia sana nilikuwa na-drive lkn kutokana na uzuri wake aliojaliwa umbo maridadi mtoto bambata imejazia kiukweli sikuona kasoro yake kwa macho nilishindwa kupita ikabidi nimsimamishe alipokuwa anapita na marafiki zake nikaomba number ya simu bila hiyana akanipa na nikampa appointment ya kuja kwangu kupajua.

Bhas siku hiyo amekuja mida ya jioni tukaketi nikaanza kuchombeza mzee baba nikasema huyu akinichomolea sitoeza kumuacha aondoke bure bure japo sio tabia zangu kutumia nguvu na sijawai ila udenda ulishanitoka .

Kipindi na chombeza naona mtu anaanza kulia na kuniambia kuwa yeye ni muathirika wa UKIMWI amezaliwa nao!laaa nilihamaki na kushtuka lakini sikutaka kuonesha kama nimeshtuka lkn kimoyomoyo nikasema Baba wa mbinguni kweli anatunusuru na mambo mengi sana tunatongoza mademu hatuwajui tunawagonga bila kinga mpaka najiuliza je angekuwa sio mchoyo ingekuaje!

KWA HIYO WANANGU HIZI TONGOZA TONGOZA TUWE NAZO MAKINI SANA
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aliwaza, hv huyu kweli ni mwanaume wa kutembea na mimi? Akaona atoe machozi na neno la kumlaza john mtembezi peku.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kaka ni hakika aliamua kuniambia ukwel kwamaan mara ya pili namtembelea kwake naona akawa yupo km anawashwa flan hv na kunionesha cheti kwa ajil ya dawa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aliwaza, hv huyu kweli ni mwanaume wa kutembea na mimi? Akaona atoe machozi na neno la kumlaza john mtembezi peku.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yaani umefeli kwenye hako kamtego mbuzi kizembe hivyo. Hutufai humu jukwaani, jifunze au toka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…