Sio kila kikuvutiacho machoni kinafaa NIMEKOMA

Unafikiri nitasemaje sasa[emoji28][emoji28][emoji28]aendelee kukoma tu[emoji28][emoji28]

Mzima lkni [emoji3590]
Mie mzma dea, miss moaaaah, ndo unapotea San jomoneeeh.
 
Nilipata mashaka tangu pale tu ulipomkuta siku ya kwanza nakumuomba namba ukiwa kwenye gari yako na kiulaini tu akakubali kuja kwako...

Mkuu utakapoamua kutafuta mke wa ndoa mke wa maisha, nakushauri usije ukathubutu kutumia gari Kama chambo........wanawake wanachambo mbili ambazo hawaruki......gari na chips...!!!!
 

Hakika ilo nalielewa wanawake sikuiz kupata mwenye penz la kwel ni km bahat nasibu
 
Yaan huwa nikifikiria hili gonjwa, had mishipa ya nyege inasinyaa ila bas tyuuuh duuuh.
[emoji2296][emoji2296]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nyege tena
 

Wa ukubwani wana kauli zao “sikubali kufa peke angu nataka kufa na watu”ila ni mungu tu sikuiz walioathirika kwa macho huwez kuwajua tena utakuta ndio wamenona km wazima
 
Nadhani wahusika watakuwa wamekuelewa...
 
We kijana vipi?,kwani akiwa na ukimwi ndo hafai?,hebu nipe namba zake nifanye mafekeche fast..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…