Sio kila kikuvutiacho machoni kinafaa NIMEKOMA

Sio kila kikuvutiacho machoni kinafaa NIMEKOMA

Nilipata mashaka tangu pale tu ulipomkuta siku ya kwanza nakumuomba namba ukiwa kwenye gari yako na kiulaini tu akakubali kuja kwako...

Mkuu utakapoamua kutafuta mke wa ndoa mke wa maisha, nakushauri usije ukathubutu kutumia gari Kama chambo........wanawake wanachambo mbili ambazo hawaruki......gari na chips...!!!!
 
Nilipata mashaka tangu pale tu ulipomkuta siku ya kwanza nakumuomba namba ukiwa kwenye gari yako na kiulaini tu akakubali kuja kwako...

Mkuu utakapoamua kutafuta mke wa ndoa mke wa maisha, nakushauri usije ukathubutu kutumia gari Kama chambo........wanawake wanachambo mbili ambazo hawaruki......gari na chips...!!!!

Hakika ilo nalielewa wanawake sikuiz kupata mwenye penz la kwel ni km bahat nasibu
 
Pole mkuu...wengi waliozaliwa wakiwa na maambukizi ya virusi vya UKIMWI ni watu poa sana. Wamefundishwa mengi tangu wakiwa wadogo na wako makini. Wanajitahidi kuwalinda wengine hasa wanapogundua wenzi wao au watu waliokaribu nao ni wazembe kwenye kujilinda.
Shughuli pevu ipo kwa waliopata virusi vya UKIMWI ukubwani.

Wa ukubwani wana kauli zao “sikubali kufa peke angu nataka kufa na watu”ila ni mungu tu sikuiz walioathirika kwa macho huwez kuwajua tena utakuta ndio wamenona km wazima
 
Nakumbuka miezi kadhaa iliyopita nilikutana na mwanamke mmoja hakika alinivutia sana nilikuwa na-drive lkn kutokana na uzuri wake aliojaliwa umbo maridadi mtoto bambata imejazia kiukweli sikuona kasoro yake kwa macho nilishindwa kupita ikabidi nimsimamishe alipokuwa anapita na marafiki zake nikaomba number ya simu bila hiyana akanipa na nikampa appointment ya kuja kwangu kupajua.

Bhas siku hiyo amekuja mida ya jioni tukaketi nikaanza kuchombeza mzee baba nikasema huyu akinichomolea sitoeza kumuacha aondoke bure bure japo sio tabia zangu kutumia nguvu na sijawai ila udenda ulishanitoka .

Kipindi na chombeza naona mtu anaanza kulia na kuniambia kuwa yeye ni muathirika wa UKIMWI amezaliwa nao!laaa nilihamaki na kushtuka lakini sikutaka kuonesha kama nimeshtuka lkn kimoyomoyo nikasema Baba wa mbinguni kweli anatunusuru na mambo mengi sana tunatongoza mademu hatuwajui tunawagonga bila kinga mpaka najiuliza je angekuwa sio mchoyo ingekuaje!

KWA HIYO WANANGU HIZI TONGOZA TONGOZA TUWE NAZO MAKINI SANA
Nadhani wahusika watakuwa wamekuelewa...
 
Nakumbuka miezi kadhaa iliyopita nilikutana na mwanamke mmoja hakika alinivutia sana nilikuwa na-drive lkn kutokana na uzuri wake aliojaliwa umbo maridadi mtoto bambata imejazia kiukweli sikuona kasoro yake kwa macho nilishindwa kupita ikabidi nimsimamishe alipokuwa anapita na marafiki zake nikaomba number ya simu bila hiyana akanipa na nikampa appointment ya kuja kwangu kupajua.

Bhas siku hiyo amekuja mida ya jioni tukaketi nikaanza kuchombeza mzee baba nikasema huyu akinichomolea sitoeza kumuacha aondoke bure bure japo sio tabia zangu kutumia nguvu na sijawai ila udenda ulishanitoka .

Kipindi na chombeza naona mtu anaanza kulia na kuniambia kuwa yeye ni muathirika wa UKIMWI amezaliwa nao!laaa nilihamaki na kushtuka lakini sikutaka kuonesha kama nimeshtuka lkn kimoyomoyo nikasema Baba wa mbinguni kweli anatunusuru na mambo mengi sana tunatongoza mademu hatuwajui tunawagonga bila kinga mpaka najiuliza je angekuwa sio mchoyo ingekuaje!

KWA HIYO WANANGU HIZI TONGOZA TONGOZA TUWE NAZO MAKINI SANA
We kijana vipi?,kwani akiwa na ukimwi ndo hafai?,hebu nipe namba zake nifanye mafekeche fast..
 
Back
Top Bottom