Sio kila mwanamke anafaa KUOLEWA wengine wameumbwa kwa ajili ya kusterehesha wanaume ukilazimisha kumuoa wa namna hiyo basi kama sio jela utakufa tu

Kubwa zaidi tuwafunze watoto wetu wa kike kujitegemea.
 
...huku kuna kuhukumu sana, wewe unajuaje kuwa huyo dada alikua hampendi mumewe na role model wake alikua Wolper?

Sorry, sijahukumu mtu bali nimetoa maangalizo kulingana na mazingira ya tukio..na taarifa za sources kwenye ground...

Lakini picha kubwa niliyonayo kulingana na exposure yangu ya maeneo mengi na mabinti zetu wa kitanzania...
 
sorry, sijahukumu mtu bali nimetoa maangalizo kulingana na mazingira ya tukio..na taarifa za sources kwenye ground...

Lakini picha kubwa niliyonayo kulingana na exposure yangu ya maeneo mengi na mabinti zetu wa kitanzania...

... Mkuu kusema humpendi mtu,una tamaa za mali zake,ni kumuhukumu to me, source kwenye grounds walishea kitanda kimoja na hio couple?...

...Mabinti wetu wa kitanzania wakoje? how different from chinese girls?, Indian girls?.. msitupakie watoto wetu wa kike wetu matope!..lol

...siku njema mkuu, nimejisikia tu kukujibu, kila mtu humu trust me amejifunza, maangalizo kwa kutumia reference ya dada wa watu sio vizuri!...
 
Hayo ndotunayaita majini
 
Sahii kabisa
 
Mkuu nakuunga mkono
Marehemu alizidiwa na hisia zake sanaa...
 
mkuu demu akiwa baamed tu muogope kama ukoma

piga na kusepa
Kuna ma bar meid wakipata bahati ya kuolewa huwa wanatulia tulii utadhani sio yeye,mkuu NI tabia tu za watu...Kuna mabint ambao kila siku wanashinda masjid na makanisani lakini ngoja waingie kwenye ndoa ,ni wanavua chupi Kama wamechanganyikiwa ,Sasa hapo ndo unajua kumbe NI tabia ya mtu,Kuna watu umalaya ni upo damuni ,hata uwe na Mali kiasi gani ,haridhiki!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…