Sio kwenye Pete tu hata kwenye saa

Sio kwenye Pete tu hata kwenye saa

Manyanza

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
16,464
Reaction score
35,629
Wakuu niliona mjadala humu kuhusu watu kuvaa mapete na kila aliyechangia alikuwa na maoni yake.

Kwa habari nilizozisikia na kuziona kwenye vyombo vya habari hata kuzisoma sehemu mbalimbali. Pete zinazovaliwa na watu mbalimbali wakiwemo Mashehe, Wachungaji, Maaskofu na watu mbalimbali. Huwa inakuwa na ulinzi dhidi ya mashambulizi ya nguvu za mapepo na majini wabaya, huongeza mvuto mbele ya jamii, hukinga dhidi ya nuksi, balaa na mikosi.

Lakini kwa siku za hivi karibuni utaratibu wa uvaaji Pete unaonekana kupunguza. Sasa hivi Watu wamebadirisha utaratibu kwa kuweka ulinzi, mvuto, King kwa kutumia saa za mikononi. Mfano kama hii picha hapa inaonekana huyu Tajiri kavaa saa 2 lakini hapo saa ni moja tu nyingine ina vitu yake kwa ajili ya Ulinzi, Mvuto, kinga nk
IMG-20250124-WA0033.jpg

Hii taarifa ya kuhifadhi vitu nimeifanyia utafiti toka mwaka jana mwezi April mpaka nimefikia kuandika huu uzi. Na vile vile sio kwenye Saa ya mkononi tu hata kwenye Chaja za Airpods na vijana wengi sasa hivi wanavaa vipochna kuvining'iniza kwenye hooks za suruali.

Crocodiletooth
Herbalist Dr MziziMkavu
BIN NUN
Mshana Jr

Kama mna la kuongeza naomba mzidi kutuhabarisha.

Nawasilisha
 
Siku zinavyo zidi kwenda na mambo yanazidi kubadilika,zamani ukienda kwa mganga wa kienyeji atakufunga hirizi na kukuchanja chale mwilini ila baada ya maendeleo na mapinduzi makubwa na ya muda mfupi ya science na technolojia,waganga nao wamedilika sana kuendana na wakati sasaivi unaweza ukavishwa mkufu,saa,hereni,miwani,kofia au bangili zingine zikiwa na rangi za bendera za mataifa mbalimbali duniani ila zikiwa na madhumuni mbalimbali kulingana na mahitaji ya muhusika. Ili ujue hayo inakupasa uwe na macho ya rohoni.
 
Siku zinavyo zidi kwenda na mambo yanazidi kubadilika,zamani ukienda kwa mganga wa kienyeji atakufunga hirizi na kukuchanja chale mwilini ila baada ya maendeleo na mapinduzi makubwa na ya muda mfupi ya science na technolojia,waganga nao wamedilika sana kuendana na wakati sasaivi unaweza ukavishwa mkufu,saa,hereni,miwani,kofia au bangili zingine zikiwa na rangi za bendera za mataifa mbalimbali duniani ila zikiwa na madhumuni mbalimbali kulingana na mahitaji ya muhusika. Ili ujue hayo inakupasa uwe na macho ya rohoni.
IMG-20250124-WA0042.jpg

Unaweza ukadhani ni urembo lakini ni zaidi ya unavyodhania. SimbalaMasimba, Zombie 🤣🤣🤣
 
Tahadhari kwa waislam wenzangu ukimkuta sheikh na mipete kibao alaf akadai kuwa ni ulinzi/kinga huyo ni mshirikina muepuke.. kinga kwetu ni adhkaar tu. Ova
Elimu za kwenye pafulet/Muqarara ndo Kama hizi
Kwamba katika kusoma kwako hujawahi ona mtume mwenyewe alikuwa akivaa Pete ya silver?
Nabii sulayman je ?
Imamu Ally?
Pete ya mtume othman bin afana ndo alikuja kuitupa kisimani kuondoa dhana mbaya kwa watu haya hukuyasoma?
Kazana kusoma naona bado sana ..
 
Wakuu niliona mjadala humu kuhusu watu kuvaa mapete na kila aliyechangia alikuwa na maoni yake.

Kwa habari nilizozisikia na kuziona kwenye vyombo vya habari hata kuzisoma sehemu mbalimbali. Pete zinazovaliwa na watu mbalimbali wakiwemo Mashehe, Wachungaji, Maaskofu na watu mbalimbali. Huwa inakuwa na ulinzi dhidi ya mashambulizi ya nguvu za mapepo na majini wabaya, huongeza mvuto mbele ya jamii, hukinga dhidi ya nuksi, balaa na mikosi.

Lakini kwa siku za hivi karibuni utaratibu wa uvaaji Pete unaonekana kupunguza. Sasa hivi Watu wamebadirisha utaratibu kwa kuweka ulinzi, mvuto, King kwa kutumia saa za mikononi. Mfano kama hii picha hapa inaonekana huyu Tajiri kavaa saa 2 lakini hapo saa ni moja tu nyingine ina vitu yake kwa ajili ya Ulinzi, Mvuto, kinga nk
View attachment 3212970
Hii taarifa ya kuhifadhi vitu nimeifanyia utafiti toka mwaka jana mwezi April mpaka nimefikia kuandika huu uzi. Na vile vile sio kwenye Saa ya mkononi tu hata kwenye Chaja za Airpods na vijana wengi sasa hivi wanavaa vipochna kuvining'iniza kwenye hooks za suruali.

Crocodiletooth
Herbalist Dr MziziMkavu
BIN NUN
Mshana Jr

Kama mna la kuongeza naomba mzidi kutuhabarisha.

Nawasilisha
Dah ni Elimu Pana Sana bahati mbaya unanjua vizuri Mimi si muandishi kabisa inabidi uwe unakuja nakupa Elimu Kisha unaiwasilisha .
Peter sio tu siku hizi hata hao wajerumani enzi za utawala wao historia inasema walikuwa wakizitumia Kuamrisha viumbe kuwasaidia kuvumbua sehem zenye Mali chini kwa maana madini na pia walitumia Pete hizo hizo kufichia Mali zao...walifanyaje sijui nianzie wapi kueleza maana mpaka watu wanielewe ni somo la miaka Ila ufupi ni huo ndani ya Pete Kuna khadimu/mtumishi anawekwe ima jina lake au alama ake Kisha hutumika ama kumlinda au kumuitishia watu au kuwavuta watu inategemea na wewe umetakaje..

Ndio badala ya kutumia hirizi watu ndo wakahamia huku kwenye saa kidani mkufu Pete au hata shati maalum
Mchunguze Bilgate huvaa kwa wingi shati gani muangalie pia shingoni Kuna mkufu havuagi.
 

Attachments

  • H20235-L139829921.jpg
    H20235-L139829921.jpg
    54.7 KB · Views: 3
Elimu za kwenye pafulet/Muqarara ndo Kama hizi
Kwamba katika kusoma kwako hujawahi ona mtume mwenyewe alikuwa akivaa Pete ya silver?
Nabii sulayman je ?
Imamu Ally?
Pete ya mtume othaman bin adhana ndo alikuja kuitupa kisimani kuondoa dhana mbaya kwa watu haya hukuyasoma?
Kazana kusoma naona bado sana ..
mtume alivaa pete kama kinga au muhuri wa dola yake? Mimi nimezungumzia uvaaji wa pete kwa madai ya kinga. Kama umesoma aqida rejelea shirk aswghar, i.e kitaab tawhiyd cha al-allama saleh fawzan kipengele cha uvaaji wa bangiri na matarasimu, pia madai ya kuvaa pete na mfano wake kama kinga ambayo ni haram kabisa
 
Ndugu yangu BIN NUN unavyosema mtume, nabii sulayman na khulafaau rashidiyn walivaa pete hakuna ataekupinga... ila usije ukatudanganya kwamba walivaa kama kinga huo ni uongo uliotukuka, pete walizivaa kama muhuli kwani watawala wa zama hizo hawakuikubali barua yoyote ambayo haikuwa na muhuli wa mtawala mwingine, ndipo rasuwlillahi swallahu alayhi wasallam akaamua kuwa na pete ya fedha (silver) ambayo upande wa kichwa iliandikwa "muhammad rasuwlullah" (muhammad mjumbe wa allah) nayo ndiyo aliitumia kama muhuri. Muhuri ambao ulitumiwa na makhalifa waliofatia.......
 
Masheikh pori kama wakina BIN NUN na wenzake kama sharif majini na doctor sule wanaovaa mapete ya kishirikina ndio watu wanaofanya uislamu ufasiriwe kama dini ya washirikina...... mtume hakuvaa pete kama kinga bali ni muhuri nakazia ni muhuri wa dola ya waislam... BIN NUN ukitaka hadiyth nitakupa ila nakuacha ukasome kwa ambao sio ahlu shirk kama walimu wako wa mwanzo
 
Back
Top Bottom