Sio kwenye Pete tu hata kwenye saa

Sio kwenye Pete tu hata kwenye saa

Ndugu yangu BIN NUN unavyosema mtume, nabii sulayman na khulafaau rashidiyn walivaa pete hakuna ataekupinga... ila usije ukatudanganya kwamba walivaa kama kinga huo ni uongo uliotukuka, pete walizivaa kama muhuli kwani watawala wa zama hizo hawakuikubali barua yoyote ambayo haikuwa na muhuli wa mtawala mwingine, ndipo rasuwlillahi swallahu alayhi wasallam akaamua kuwa na pete ya fedha (silver) ambayo upande wa kichwa iliandikwa "muhammad rasuwlullah" (muhammad mjumbe wa allah) nayo ndiyo aliitumia kama muhuri. Muhuri ambao ulitumiwa na makhalifa waliofatia.......
Mambo mengine yanahitaji ubukue haswaa
Wakati Musa anaambiwa Kuna mtu ana elimu zaidi yake Qur an inasema Musa alipoenda hanarini alimkuta moja mwenye elimu gani?
Wakati Aswaf bin barhiyya waziri wa nabii sulayman anatoa jibu la kuleta kiti Cha mfalme wa kike Qur an inasema alikuwa na Elimu gani! Inasema elimu ya kitabu si ndio?
Ni ipi hiyo elimu ya kitabu?

Hata Mimi nilikuwa Kama wewe kusoma kwa kukaririshwa nakala lakin nikaingia kusoma ndo nikaelewa ukweli..
Umentajia kitabu!! Hehehe mkuu sizani Kama Kuna kitabu kimeelezwa tauhid kwa ufaswaha Kama kitabu Cha imamu shafi Cha majmughi arbagha rasaila ....
Huku nilishapita we kazana kusoma utaelewa.
 
Pia BIN NUN usinifate PM inshaallahu ta'alaa tutakiwasha uwanja huu huu mpaka dhana ya kishirikina katika uislam iondoshwe mazima....
Mimi si mtu wa kukufata pm nitakuwa najishusha Kama sio kujidhalilisha..
Kazana kusoma mradi unajua mitume walivaa Pete basi vingine kazana kusoma
 
Masheikh pori kama wakina BIN NUN na wenzake kama sharif majini na doctor sule wanaovaa mapete ya kishirikina ndio watu wanaofanya uislamu ufasiriwe kama dini ya washirikina...... mtume hakuvaa pete kama kinga bali ni muhuri nakazia ni muhuri wa dola ya waislam... BIN NUN ukitaka hadiyth nitakupa ila nakuacha ukasome kwa ambao sio ahlu shirk kama walimu wako wa mwanzo
Mimi si sheikh Wala hao ulionitaja nao ndo kina nani?
Wewe uwe una elimu ya shirki halafu avatar yako uweke picha ya mzungu?
Porojo zingine banah.
Hiyo ni beleghe ya Elimu kazana kusoma.
 
mtume alivaa pete kama kinga au muhuri wa dola yake? Mimi nimezungumzia uvaaji wa pete kwa madai ya kinga. Kama umesoma aqida rejelea shirk aswghar, i.e kitaab tawhiyd cha al-allama saleh fawzan kipengele cha uvaaji wa bangiri na matarasimu, pia madai ya kuvaa pete na mfano wake kama kinga ambayo ni haram kabisa
Mimi nihukumu Mambo kwa kutumia miongozo ya Fawzan?
Kijana uko sawa kweli?
Acha UTOTO.
 
Mimi si mtu wa kukufata pm nitakuwa najishusha Kama sio kujidhalilisha..
Kazana kusoma mradi unajua mitume walivaa Pete basi vingine kazana kusoma
fuqaha wanaqawl isemayo "salaamat'daliyl la tughniya attanziyl " unaleta dalili pahala ambapo sio pake kabisa. mtume alivaa pete kama muhuri wa dola yake. Ila wewe bado haujaleta uthibitisho wa kuvaliwa kama kinga/ulinzi... Ukiuleta huo uthibitisho mjadala tunaufunga huu yakhee wachana na hizo shirki ndugu
 
Mambo mengine yanahitaji ubukue haswaa
Wakati Musa anaambiwa Kuna mtu ana elimu zaidi yake Qur an inasema Musa alipoenda hanarini alimkuta moja mwenye elimu gani?
Wakati Aswaf bin barhiyya waziri wa nabii sulayman anatoa jibu la kuleta kiti Cha mfalme wa kike Qur an inasema alikuwa na Elimu gani! Inasema elimu ya kitabu si ndio?
Ni ipi hiyo elimu ya kitabu?

Hata Mimi nilikuwa Kama wewe kusoma kwa kukaririshwa nakala lakin nikaingia kusoma ndo nikaelewa ukweli..
Umentajia kitabu!! Hehehe mkuu sizani Kama Kuna kitabu kimeelezwa tauhid kwa ufaswaha Kama kitabu Cha imamu shafi Cha majmughi arbagha rasaila ....
Huku nilishapita we kazana kusoma utaelewa.
tafadhali usimzulie imaam shafi' kuwa anaunga mkono uvaaji wa pete kwa itikadi ya kujikinga na balaa. Cha msingi wewe leta uthibitisho juu ya pete ya mtume kuvaliwa kama kinga. Ova
 
BIN NUN usinidanganye kwamba huyajuwi makatazo kuhusu kujiegemeza na kuhitaji kinga na ulinzi dhidi ya balaa nk kwa asiyekuwa allah. Hata mtume alipofundishwa kuhusu kujikinga hajapatapo kuambiwa kuhusu pete.... Niko palepale mtume alivaa pete kama muhuri wa dola na sio kinga unless leta uthibitisho tufunge mjadala
 
BIN NUN usinidanganye kwamba huyajuwi makatazo kuhusu kujiegemeza na kuhitaji kinga na ulinzi dhidi ya balaa nk kwa asiyekuwa allah. Hata mtume alipofundishwa kuhusu kujikinga hajapatapo kuambiwa kuhusu pete.... Niko palepale mtume alivaa pete kama muhuri wa dola na sio kinga unless leta uthibitisho tufunge mjadala
Sawa mtume alivaa Pete Kama ishara ya Dola umesema si ndio
Lete ushahidi wake kwa mtume?
Nabii sulayman alivaa Pete Kama ishara ya Dola Lete ushahidi
Na pia uwe unasema Dola zao zikiitwaje.
Ukiniwekea hivo Mimi nitakuwekea mpaka mtume akiwaambia mas-hab wavae Pete za silver kuzuia maradhi Fulani.
 
fuqaha wanaqawl isemayo "salaamat'daliyl la tughniya attanziyl " unaleta dalili pahala ambapo sio pake kabisa. mtume alivaa pete kama muhuri wa dola yake. Ila wewe bado haujaleta uthibitisho wa kuvaliwa kama kinga/ulinzi... Ukiuleta huo uthibitisho mjadala tunaufunga huu yakhee wachana na hizo shirki ndugu
Nilikuambia hivi Kuna Mambo mengine yanahitaji elimu na kwa Hali hii Kuna mahali pa elimu hujafika..
Nikakuambia hivi:
Qur ani inamtaja waziri wa nabii sulayman alieleta kiti Cha malkoa balqays alikuwa na ELIMU YA KITABU nikakuuliza ma huwa elimu likitabu?

Pili nikasema Qur ani inamtaja mtu aliekuwa na Elimu kuliko nabii Musa ambae ni nabii l-khizri inamtaja kwa kusema musa akamkuta mja katika waja wa Mungu aliepewa Elimu mina laduna
Nikakuuliza ma huwa Elimu mina Laduna?
Kwahiyo Qur ani imetaja Elimu mbili hata ambazo ni tofauti walikuwa nazo nabii l-khizri na huyo waziri wa king solomon.

Kwa wewe ulivofundishwa elimu hizo ni zipi ambazo zimetajwa kuonesha mpaka mitume mfano Musa haukuwa nayo yeye Kama nabii wa Mungu akapewa Mtu mwingine?
 
fuqaha wanaqawl isemayo "salaamat'daliyl la tughniya attanziyl " unaleta dalili pahala ambapo sio pake kabisa. mtume alivaa pete kama muhuri wa dola yake. Ila wewe bado haujaleta uthibitisho wa kuvaliwa kama kinga/ulinzi... Ukiuleta huo uthibitisho mjadala tunaufunga huu yakhee wachana na hizo shirki ndugu
Kwa hiyo Dola ya mtume ilikuwa ikiitwa lailaha Ila lahu muhamad rasulu llah?
Maana umesema Pete ake iliandikwa hivo.
Ukasema na waliofata waliivaa Pete hiyo Sasa kwanini ilipofika enzi za Othman akaitupa kisimani wakati baadae anatawala imamu ghalii Pete ilishatupwa kwa hiyo alii kwa kuwa hakuivaa Ile Pete tuseme alii hakusimamisha Dola?
Hebu kazana kasoma unakubali mtume alivaa Pete Sasa kazana kusoma kwa ba-twin ujue Mambo vizuri.
Kuna Mambo waarabu na wazungu wanficha ili msiweze kupata kuelewa ukweli wa mambo.
 
Hapa kuna battle moja nimeipenda ngoja na subscribe kabisa nitakuja BIN NUN Luhan12 shusheni vitu nakuja
Mkuu we vaa Pete usijali kabisa Kuna Mambo watu wamefungwa waishie sehem Fulani ya elimu mengine wasiyajie..
Si waarabu Wala wazungu wametuficha mengi Sanaa kuzuia hasa watu weusi wabaki wajinga.
Yaani masuala ya kiroho waafrika ukweli wake wanajua huenda 10% tu zilizobaki ni hatujui.

Muislam anasema ana Mungu wake mkiristo nae na wake asa ingekuwa hivo si waungu wangeleteana upinzani!
Muislam anawekewa limit na waarabu ya kutaka kutojua Mambo FULAN ukitaka kujua tunaambiwa shirki ukifuatilia wao ndo wafanyaji..
Ukizama deep ndo unapata kuelewa Mungu ni mmoja pili Hawa waletaji wa Iman Kuna sehem walifanya makusudi 😂😂😂
Sasa mtu anasema nikivaa Pete Kama Kinga ni shirki basi hata kutumia bunduki ni shirki Sasa mbona wao waarabu wanatumia bunduki Kama Kinga!
 
BIN NUN usinidanganye kwamba huyajuwi makatazo kuhusu kujiegemeza na kuhitaji kinga na ulinzi dhidi ya balaa nk kwa asiyekuwa allah. Hata mtume alipofundishwa kuhusu kujikinga hajapatapo kuambiwa kuhusu pete.... Niko palepale mtume alivaa pete kama muhuri wa dola na sio kinga unless leta uthibitisho tufunge mjadala
Unakataa kuvaa Pete Kama Kinga unasema ni shirki!
Vipi na kuwa na bunduki Kama Kinga!
Kisu je!
Je mtume alitumia panga katika mapigano Kama nini? Si kujikinga na maadui? Kuna sehem Mungu alimwambia atumie panga au kisu Kama kujikinga na maadui?
Au yeyote anatumia Bunduki kujikinga na wabaya au wanyama wabaya nayo ni Shirki?
Kuvaa viatu je unajikinga na magonjwa kwa hiyo kuvaa viatu nayo shirki ?
Watoto kuchomwa sindano za Kinga za tetekuwanga pepopunda na magonjwa mengine nayo Shirki?
 
Unakataa kuvaa Pete Kama Kinga unasema ni shirki!
Vipi na kuwa na bunduki Kama Kinga!
Kisu je!
Je mtume alitumia panga katika mapigano Kama nini? Si kujikinga na maadui? Kuna sehem Mungu alimwambia atumie panga au kisu Kama kujikinga na maadui?
Au yeyote anatumia Bunduki kujikinga na wabaya au wanyama wabaya nayo ni Shirki?
Kuvaa viatu je unajikinga na magonjwa kwa hiyo kuvaa viatu nayo shirki ?
Watoto kuchomwa sindano za Kinga za tetekuwanga pepopunda na magonjwa mengine nayo Shirki?
Mkuu Asante kwa ufafanuzi na sasa huu mtindo wa kuvaa saa na macheni kama Diamond inaruhusika?
 
Mkuu Asante kwa ufafanuzi na sasa huu mtindo wa kuvaa saa na macheni kama Diamond inaruhusika?
Saa inaruhusika.
Macheni mengi aah hapana tengeneza kidani kivae ndani watu wasikiona.
Hii ya macheni huo ni usanii Sasa ijapokuwa Yana maana.
 
Sawa mtume alivaa Pete Kama ishara ya Dola umesema si ndio
Lete ushahidi wake kwa mtume?
HADITH. Amesimulia Anas bin Maalik(radhiya Allaahu 'anhu) "wakati mmoja mtume (swalla Allahu alayhi wa sallam) aliandika barua au alikuwa na wazo la kuandika barua, mtume aliambiwa kuwa wafalme hawaandiki barua mpaka ziwe na muhuri, kwahiyo mtume alifanya pete ya fedha iliyoandikwa 'muhammad rasulullah - muhammad mjumbe wa Allah'. kama ninaangalia mng'aro wake mweupe mkononi mwa mtume.. [al bukhaariy]... niko pale naisubiri hiyo hadithi unayosemea
 
Hata ulozi unaenda na wakati wa kiteknolojia.

Siku hizi kuna mpaka hirizi digital.
 
HADITH. Amesimulia Anas bin Maalik(radhiya Allaahu 'anhu) "wakati mmoja mtume (swalla Allahu alayhi wa sallam) aliandika barua au alikuwa na wazo la kuandika barua, mtume aliambiwa kuwa wafalme hawaandiki barua mpaka ziwe na muhuri, kwahiyo mtume alifanya pete ya fedha iliyoandikwa 'muhammad rasulullah - muhammad mjumbe wa Allah'. kama ninaangalia mng'aro wake mweupe mkononi mwa mtume.. [al bukhaariy]... niko pale naisubiri hiyo hadithi unayosemea
Umeandika nini?
Muhuru wa barua unaujua lakini?
Anyway nimejua nabishana na mtu wa Aina gani...
Neno langu Kazana kusoma baleghe ya elimu isikusumbue nimekuuliza maswali kibao unaleta utetezi wa hadithi moja.
 
Elimu za kwenye pafulet/Muqarara ndo Kama hizi
Kwamba katika kusoma kwako hujawahi ona mtume mwenyewe alikuwa akivaa Pete ya silver?
Nabii sulayman je ?
Imamu Ally?
Pete ya mtume othman bin afana ndo alikuja kuitupa kisimani kuondoa dhana mbaya kwa watu haya hukuyasoma?
Kazana kusoma naona bado sana ..
Mtume alikuwa anavaa kwaajili gani?
 
Back
Top Bottom