Sio kwenye Pete tu hata kwenye saa

Sio kwenye Pete tu hata kwenye saa

Nikakuambia hivi:
Qur ani inamtaja waziri wa nabii sulayman alieleta kiti Cha malkoa balqays alikuwa na ELIMU YA KITABU nikakuuliza ma huwa elimu likitabu?

Pili nikasema Qur ani inamtaja mtu aliekuwa na Elimu kuliko nabii Musa ambae ni nabii l-khizri inamtaja kwa kusema musa akamkuta mja katika waja wa Mungu aliepewa Elimu mina laduna
Nikakuuliza ma huwa Elimu mina Laduna?
1: kuhusiana suala la Asif bado lina khilaf kibao licha ya kwamba qawl inayokubalika sana ni ta'ariful "ismu al adhwam"......... 2😛ia suala la khidhri lipowazi katika Quran kuwa ni wahyi kama ambavyo suratul kahf:82 inavyo malizia ".... nasikulitenda hayo kwa amri(matashi/nguvu) yangu..." bimaana ni kutoka kwa Allaah tabaaraka wa ta'ala... 3:kuhusu jina la dola ya sulayman Quran imeitaja kama mulku sulayman (ufalme wa sulayman).. nimekujibu bana nasubiri tu hiyo hadithi uliyonayo wewe. wallaahu a'lam
 
1: kuhusiana suala la Asif bado lina khilaf kibao licha ya kwamba qawl inayokubalika sana ni ta'ariful "ismu al adhwam"......... 2😛ia suala la khidhri lipowazi katika Quran kuwa ni wahyi kama ambavyo suratul kahf:82 inavyo malizia ".... nasikulitenda hayo kwa amri(matashi/nguvu) yangu..." bimaana ni kutoka kwa Allaah tabaaraka wa ta'ala... 3:kuhusu jina la dola ya sulayman Quran imeitaja kama mulku sulayman (ufalme wa sulayman).. nimekujibu bana nasubiri tu hiyo hadithi uliyonayo wewe. wallaahu a'lam
Kwa majibu haya bado nawe unajiita msomi wa dini?
Nitajishushia hadhi yangu kuendelea kujibishana nawe.
 
Unakataa kuvaa Pete Kama Kinga unasema ni shirki!
Vipi na kuwa na bunduki Kama Kinga!
Kisu je!
Je mtume alitumia panga katika mapigano Kama nini? Si kujikinga na maadui? Kuna sehem Mungu alimwambia atumie panga au kisu Kama kujikinga na maadui?
Au yeyote anatumia Bunduki kujikinga na wabaya au wanyama wabaya nayo ni Shirki?
Kuvaa viatu je unajikinga na magonjwa kwa hiyo kuvaa viatu nayo shirki ?
Watoto kuchomwa sindano za Kinga za tetekuwanga pepopunda na magonjwa mengine nayo Shirki?
that's why ninasisitiza ukasome aqida vizuri, ndo nini hicho umeandika hapo juu?... Rudi ukasome mlango unaohusu hofu/kuogopa, mfano binaadamu anaogopa simba na nyoka ilhali Allah ndiye wakuogopwa. kasome vizuri uone ni namna gani ulamaa wanaliweka sawa hili. tafuta hiki kitabu "al irshaad ilaa swahiyhu al i'tiqaadiy"
 
Kwa hiyo Dola ya mtume ilikuwa ikiitwa lailaha Ila lahu muhamad rasulu llah?
Maana umesema Pete ake iliandikwa hivo.
Ukasema na waliofata waliivaa Pete hiyo Sasa kwanini ilipofika enzi za Othman akaitupa kisimani wakati baadae anatawala imamu ghalii Pete ilishatupwa kwa hiyo alii kwa kuwa hakuivaa Ile Pete tuseme alii hakusimamisha Dola?
ndugu yangu BIN NUN nasikitika kusema ya kwamba nimegundua kuwa hauna swahiyh bukhaari nyumbani kwako, lau kama ungekuwa nacho usingeandika hilo shudu hapo juu. Uthman alitupa pete?!, ilimdondoka katika kisima cha Aris. ukishakunywa chai nenda kanunuwe sahiyh bukhaariy haraka iwezekanavyo
 
ndugu yangu BIN NUN nasikitika kusema ya kwamba nimegundua kuwa hauna swahiyh bukhaari nyumbani kwako, lau kama ungekuwa nacho usingeandika hilo shudu hapo juu. Uthman alitupa pete?!, ilimdondoka katika kisima cha Aris. ukishakunywa chai nenda kanunuwe sahiyh bukhaariy haraka iwezekanavyo
😂😂😂 Vijana mna kazi kweli kweli.
Sina kitabu halafu nimejua Pete ilitupwa kisimani.
Sawa Sina kitabu nitakitafuta.
Nilikuuliza nini maana ya Elimu likitabu kwa mujibu wa Qur an hujajibu
Nikakuuliza nini maana ya Elimu laduna hukujibu.
Itoshe kusema haya ngoja Nami nikasome niwe Kama wewe.
 
Sasa mtu anasema nikivaa Pete Kama Kinga ni shirki basi hata kutumia bunduki ni shirki Sasa mbona wao waarabu wanatumia bunduki Kama Kinga!
hii tunaita ni mafhumul mukhaalafah.. Pia ni nani alikwambia kwamba hii dini ni ya waarabu?
 
Back
Top Bottom