chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Nashauri uongozi mkuu utoe maelekezo maalum kwa taasisi na mashirika. Kama taasisi au shirika lina semina/ mafunzo/ vikao 10 kwa mwaka, kwa kuanzia, walau kikao/ semina moja ifanyikie katika mikoa hiyo.
Hii itasaidia kuiunganisha nchi kiuzalendo na mzunguko wa uchumi.
Mambo ya kupeleka kila kitu Arusha hayajengi uwiano wa kieneo kwa nchi
Hii itasaidia kuiunganisha nchi kiuzalendo na mzunguko wa uchumi.
Mambo ya kupeleka kila kitu Arusha hayajengi uwiano wa kieneo kwa nchi