Sio lazima kila kitu kifanyike Arusha, semina na vikao serikalini, pia vifanyikie Lindi, Mtwara, Ruvuma, zimesahaulika

Sio lazima kila kitu kifanyike Arusha, semina na vikao serikalini, pia vifanyikie Lindi, Mtwara, Ruvuma, zimesahaulika

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Nashauri uongozi mkuu utoe maelekezo maalum kwa taasisi na mashirika. Kama taasisi au shirika lina semina/ mafunzo/ vikao 10 kwa mwaka, kwa kuanzia, walau kikao/ semina moja ifanyikie katika mikoa hiyo.

Hii itasaidia kuiunganisha nchi kiuzalendo na mzunguko wa uchumi.

Mambo ya kupeleka kila kitu Arusha hayajengi uwiano wa kieneo kwa nchi
 
Ungesema mtwara at least na ruvuma labda songea,lindi hiyo kumbi za kutosha vikao vya kiserikali hakuna kungekuwa na jam foleni lodges chache zenye ubora,watu matukio ya kitaifa wanachukua lodge mtwara na matukio yanafanyika lindi..its nonsense.
wajipange kwanza ndipo hizo fursa zije mjini lakini pamekaa kama kijijini bhana 🤣
cc: ndege JOHN
 
Nashauri uongozi mkuu utoe maelekezo maalum kwa taasisi na mashirika. Kama taasisi au shirika lina semina/ mafunzo/ vikao 10 kwa mwaka, kwa kuanzia, walau kikao/ semina moja ifanyikie katika mikoa hiyo.

Hii itasaidia kuiunganisha nchi kiuzalendo na mzunguko wa uchumi.

Mambo ya kupeleka kila kitu Arusha hayajengi uwiano wa kieneo kwa nchi

Nashauri uongozi mkuu utoe maelekezo maalum kwa taasisi na mashirika. Kama taasisi au shirika lina semina/ mafunzo/ vikao 10 kwa mwaka, kwa kuanzia, walau kikao/ semina moja ifanyikie katika mikoa hiyo.

Hii itasaidia kuiunganisha nchi kiuzalendo na mzunguko wa uchumi.

Mambo ya kupeleka kila kitu Arusha hayajengi uwiano wa kieneo kwa nchi
Sababu kuu ya wewe kupendekeza kwingineko ni kwamba ni mmojawapo wanaomchukia binafsi Mh RC wa AR Paul Christian Makonda; una muda mchache sana wewe na choicevariable mtaibuliwa hadharani mtashangaa
 
Nashauri uongozi mkuu utoe maelekezo maalum kwa taasisi na mashirika. Kama taasisi au shirika lina semina/ mafunzo/ vikao 10 kwa mwaka, kwa kuanzia, walau kikao/ semina moja ifanyikie katika mikoa hiyo.

Hii itasaidia kuiunganisha nchi kiuzalendo na mzunguko wa uchumi.

Mambo ya kupeleka kila kitu Arusha hayajengi uwiano wa kieneo kwa nchi
Wewe ni mpumbavu sana,huwa nakusoma nabaki naskusshangaa sana,acha chuki kwa MAKONDA.

Jamaa zako wamepigwa kata funua na Samia huna hamu kabisa
 
Back
Top Bottom