Nguvu ni lazima zitoke katika mipango ya viongozi waliopo ndani ya mkoa husika, mipango thabiti, nia za dhati, na tusisahau GOEGRAPHICAL POSITIONS!...
MFANO, Mkuu wa mkoa wa kilimanjaro ameanza kuyaona haya vyema, yupo anapigana na Wawekezaji ili kuona wanajenga kumbi na hotel za hadhi ya juu, huu tunauita utendaji wa kujiongeza,sasa yuko mkuu wa mkoa kabisa hajiongezi yeye ni kupigana na senti za halmashauri na tozo mbalimbali, anasahau kushughulika na wawekezaji mbalimbali, mwishowe anadumaza eneo la mkoa wake, kuna Mkeka unatoka wa wakuu wa mikoa stay tune!, kuna wakuu wa mikoa ni mizigo!