Nashauri uongozi mkuu utoe maelekezo maalum kwa taasisi na mashirika. Kama taasisi au shirika lina semina/ mafunzo/ vikao 10 kwa mwaka, kwa kuanzia, walau kikao/ semina moja ifanyikie katika mikoa hiyo.
Hii itasaidia kuiunganisha nchi kiuzalendo na mzunguko wa uchumi.
Mambo ya kupeleka kila kitu Arusha hayajengi uwiano wa kieneo kwa nchi
Sababu kuu ya wewe kupendekeza kwingineko ni kwamba ni mmojawapo wanaomchukia binafsi Mh RC wa AR Paul Christian Makonda; una muda mchache sana wewe na choicevariable mtaibuliwa hadharani mtashangaaNashauri uongozi mkuu utoe maelekezo maalum kwa taasisi na mashirika. Kama taasisi au shirika lina semina/ mafunzo/ vikao 10 kwa mwaka, kwa kuanzia, walau kikao/ semina moja ifanyikie katika mikoa hiyo.
Hii itasaidia kuiunganisha nchi kiuzalendo na mzunguko wa uchumi.
Mambo ya kupeleka kila kitu Arusha hayajengi uwiano wa kieneo kwa nchi
Wewe ni mpumbavu sana,huwa nakusoma nabaki naskusshangaa sana,acha chuki kwa MAKONDA.Nashauri uongozi mkuu utoe maelekezo maalum kwa taasisi na mashirika. Kama taasisi au shirika lina semina/ mafunzo/ vikao 10 kwa mwaka, kwa kuanzia, walau kikao/ semina moja ifanyikie katika mikoa hiyo.
Hii itasaidia kuiunganisha nchi kiuzalendo na mzunguko wa uchumi.
Mambo ya kupeleka kila kitu Arusha hayajengi uwiano wa kieneo kwa nchi
Baba yako kaukalia wa MAKONDAUmeukalia?