MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Leo ndiyo nimekumbuka hii ndo siku niliyozaliwa hii tarehe (according to matron alikuwa mtawa wa kike hapo nilipokulia), namshukuru Mwenyezi Mungu kwa yote kwa sikuu hii [emoji846][emoji120]nitegemee kuzianza siku 365 nyengine
Japo siku hizi ukizesherekea au kuzitilia maanani hukawii kubezwa na mabaharia [emoji3]na walimwengu, hukawii kuitwa Miss Pink mara teenage mara cheerleader ukicheki we ni dume la miraba minne.
Ila Mara moja sio mbaya kusherekea kwa hiyo mabaharia bado nipo kwenye chama.
Happy born day to me.
Sent using Jamii Forums mobile app
Japo siku hizi ukizesherekea au kuzitilia maanani hukawii kubezwa na mabaharia [emoji3]na walimwengu, hukawii kuitwa Miss Pink mara teenage mara cheerleader ukicheki we ni dume la miraba minne.
Ila Mara moja sio mbaya kusherekea kwa hiyo mabaharia bado nipo kwenye chama.
Happy born day to me.
Sent using Jamii Forums mobile app