🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤔🤔🤔Sisi wanasimba furaha yetu tulishazimaliza na kuwapongeza kwa mafanikio yetu ya msimu huu baada ya timu kutoka Morocco. Sisi kauli ni ile ile hatuwadai benchi la ufundi, hatuwadai wachezaji na hatuwadai viongozi hakika malengo yetu ya msimu tumefanikiwa. Tuna kombe la robo fainali, kombe la kufa kiume CAF na Twitter.
TumedulooNgoja kwanza kwani imekuwaje simba tumefungwa au ??
Acha uhuni wewe.Umelogwa nini?Sisi wanasimba furaha yetu tulishazimaliza na kuwapongeza kwa mafanikio yetu ya msimu huu baada ya timu kutoka Morocco. Sisi kauli ni ile ile hatuwadai benchi la ufundi, hatuwadai wachezaji na hatuwadai viongozi hakika malengo yetu ya msimu tumefanikiwa. Tuna kombe la robo fainali, kombe la kufa kiume CAF na Twitter.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] ndumu hizi ha ha haSisi wanasimba furaha yetu tulishazimaliza na kuwapongeza kwa mafanikio yetu ya msimu huu baada ya timu kutoka Morocco. Sisi kauli ni ile ile hatuwadai benchi la ufundi, hatuwadai wachezaji na hatuwadai viongozi hakika malengo yetu ya msimu tumefanikiwa. Tuna kombe la robo fainali, kombe la kufa kiume CAF na Twitter.
Tumekufa kiume achana na sisiNgoja kwanza kwani imekuwaje simba tumefungwa au ??
Furahia lakini usiniguse 😅Sisi wanasimba furaha yetu tulishazimaliza na kuwapongeza kwa mafanikio yetu ya msimu huu baada ya timu kutoka Morocco. Sisi kauli ni ile ile hatuwadai benchi la ufundi, hatuwadai wachezaji na hatuwadai viongozi hakika malengo yetu ya msimu tumefanikiwa. Tuna kombe la robo fainali, kombe la kufa kiume CAF na Twitter.
Umenena vyema hata sis wanathimba tumefurahi pia na Leo kutetea kombe letu.Sisi wanasimba furaha yetu tulishazimaliza na kuwapongeza kwa mafanikio yetu ya msimu huu baada ya timu kutoka Morocco. Sisi kauli ni ile ile hatuwadai benchi la ufundi, hatuwadai wachezaji na hatuwadai viongozi hakika malengo yetu ya msimu tumefanikiwa. Tuna kombe la robo fainali, kombe la kufa kiume CAF na Twitter.
🤣🤣🤣🤣🤣Sisi wanasimba furaha yetu tulishazimaliza na kuwapongeza kwa mafanikio yetu ya msimu huu baada ya timu kutoka Morocco. Sisi kauli ni ile ile hatuwadai benchi la ufundi, hatuwadai wachezaji na hatuwadai viongozi hakika malengo yetu ya msimu tumefanikiwa. Tuna kombe la robo fainali, kombe la kufa kiume CAF na Twitter.
Enhe[emoji38]nimekugusa dada/kaka?Tumekufa kiume achana na sisi
Aaah,hujanipata mi sio simba,nawakejeli tuEnhe[emoji38]nimekugusa dada/kaka?
Punguza makasiriko soma comment yangu vzr.