Sio mbaya ya supu nimepata

Sio mbaya ya supu nimepata

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Kuelekea kufungua ligi mkamaria nimeanza kama hivi nasemaje ama zangu ama za sporty bet msimu huu
Screenshot_20240811-210734.jpg
 
Suala la muda tu muhindi aanze kurudisha chake....hakuna mcheza kamari aliyefanikiwa! Furahi kidogo ila utakuja kulia sana
Utasubiri sana endelea kuumia najua masikini kama wewe mnapenda matajiri tuannguke betting nimeanza tangia haujazaliwa najua ninachokifanya endelea kustake hero si ndio michezo yenu
 
Feisal alivyotupia ulikuwa unajambajamba ukiwazia kihela chako cha ngama
Yaaani baaaaado hujasema utakanyagwa na kanji mpaka usemee betting sio ya masikini unabeti jero upate stake yangu utaambulia vumbiii 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom