Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Kuelekea kufungua ligi mkamaria nimeanza kama hivi nasemaje ama zangu ama za sporty bet msimu huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utasubiri sana endelea kuumia najua masikini kama wewe mnapenda matajiri tuannguke betting nimeanza tangia haujazaliwa najua ninachokifanya endelea kustake hero si ndio michezo yenuSuala la muda tu muhindi aanze kurudisha chake....hakuna mcheza kamari aliyefanikiwa! Furahi kidogo ila utakuja kulia sana
Nimeweka makusudi hapa Ili niwaone masikini kama wewe mnavyoumiaNdio mara yako ya kwanza kumpuna muhindi nini mkuu? Unaturingishia
Tajiri unabeti laki tatu tena kwa uoga wa double chance....we lofa tu!!Utasubiri sana endelea kutumia najua masikini kama wewe mnapenda matajiri tuannguke betting nimeanza tangia haujazaliwa najua ninachokifanya endelea kustake hero si ndio michezo yenu
Yàaani bado ujasema masikini lazima muumie endelea kubeti jero jero halafu uweke normal odds 2.70 utaambulia vumbi tu🤣🤣🤣🤣🤣Tajiri unabeti laki tatu tena kwa uoga wa double chance....we lofa tu!!
Feisal alivyotupia ulikuwa unajambajamba ukiwazia kihela chako cha ngamaYàaani bado ujasema masikini lazima muumie endelea kubeti jero jero utaambulia vumbi tu
Yaaani baaaaado hujasema utakanyagwa na kanji mpaka usemee betting sio ya masikini unabeti jero upate stake yangu utaambulia vumbiii 🤣🤣🤣🤣🤣Feisal alivyotupia ulikuwa unajambajamba ukiwazia kihela chako cha ngama
Muhindi ndio huwa wa mwisho kucheka na anayecheka wa mwisho ndio hucheka zaidi🐒Suala la muda tu muhindi aanze kurudisha chake....hakuna mcheza kamari aliyefanikiwa! Furahi kidogo ila utakuja kulia sana
Nimeshacheka msimu uliopita na huu naendelea kucheka utasubiri sana anguko langu mzee wa jeo jero upate pesa ninayostake mimiMuhindi ndio huwa wa mwisho kucheka na anayecheka wa mwisho ndio hucheka zaidi🐒View attachment 3067288
Alijinyea kabisa uyoFeisal alivyotupia ulikuwa unajambajamba ukiwazia kihela chako cha ngama
Dogo acha ushambaKuelekea kufungua ligi mkamaria nimeanza kama hivi nasemaje ama zangu ama za sporty bet msimu huuView attachment 3067262
Mshamba wewe unaeonea wivu pesa za watu ajira zimeisha nenda kafagie barabara masikini wewe🤣🤣🤣🤣🤣Dogo acha ushamba
alikuwa anapumulia mashine!Feisal alivyotupia ulikuwa unajambajamba ukiwazia kihela chako cha ngama
Sawa tajiriNimeshacheka msimu uliopita na huu naendelea kucheka utasubiri sana anguko langu mzee wa jeo jero upate pesa ninayostake mimi
Mashine wapi., alikua anapumulia mnduku uyo (elewa neno mnduku)alikuwa anapumulia mashine!
Ni utani tu mkuu.. huyu mdogo wetu show-offs zake tunazijuaKwani amekosea nini, mbona mnamshambulia?
Odd ya 1.20 nicheck nakupa kila siku ukiliwa niite mbwa mm mwenyewe huwa nA stake ivyo ivyoKuelekea kufungua ligi mkamaria nimeanza kama hivi nasemaje ama zangu ama za sporty bet msimu huuView attachment 3067262