Sio mbaya ya supu nimepata

Sio mbaya ya supu nimepata

Makampuni ya kamari ni menngi sana Tanzani; huenda takriban 100. Lakini je makampuni makubwa ni yapi? Ninajua SportPesa na MBet ni makubwa je mengine ni yapi; nimeahi kusoma uwpo wa WasafiBet, PMBet, Betika na Meridianbet. Mengine ni yapi, na je huwa kweli watu huwa wanahsinda na kupata hela au wote huishia kuchangia kwenye mkoba wa kampuni na kubakiza wachache kama mheshimiwa kuhamasisha wengine
 
Makampuni ya kamari ni menngi sana Tanzani; huenda takriban 100. Lakini je makampuni makubwa ni yapi? Ninajua SportPesa na MBet ni makubwa je mengine ni yapi; nimeahi kusoma uwpo wa WasafiBet, PMBet, Betika na Meridianbet. Mengine ni yapi, na je huwa kweli watu huwa wanahsinda na kupata hela au wote huishia kuchangia kwenye mkoba wa kampuni na kubakiza wachache kama mheshimiwa kuhamasisha wengine
Wewe bado sana umeanaa kubet juzi nini kwahiyo sport pesa na M bet ndio makampuni lakubwa yaliyopo tanzania
 
Makampuni ya kamari ni menngi sana Tanzani; huenda takriban 100. Lakini je makampuni makubwa ni yapi? Ninajua SportPesa na MBet ni makubwa je mengine ni yapi; nimeahi kusoma uwpo wa WasafiBet, PMBet, Betika na Meridianbet. Mengine ni yapi, na je huwa kweli watu huwa wanahsinda na kupata hela au wote huishia kuchangia kwenye mkoba wa kampuni na kubakiza wachache kama mheshimiwa kuhamasisha wengine
Ayo makampuni wanatumia niche punters...
 
Back
Top Bottom