Sio mbaya ya supu nimepata

Suala la muda tu muhindi aanze kurudisha chake....hakuna mcheza kamari aliyefanikiwa! Furahi kidogo ila utakuja kulia sana
Utasubiri sana endelea kuumia najua masikini kama wewe mnapenda matajiri tuannguke betting nimeanza tangia haujazaliwa najua ninachokifanya endelea kustake hero si ndio michezo yenu
 
Feisal alivyotupia ulikuwa unajambajamba ukiwazia kihela chako cha ngama
Yaaani baaaaado hujasema utakanyagwa na kanji mpaka usemee betting sio ya masikini unabeti jero upate stake yangu utaambulia vumbiii 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…