Sio mpenzi wangu lakini kaninunia sababu nimeshindwa kumkopesha pesa

Sio mpenzi wangu lakini kaninunia sababu nimeshindwa kumkopesha pesa

Kuna binti mmoja nilipata kujuana nae baada ya kukutana kwenye kazi ya muda ambayo tuliifanya kwa muda wa miezi 6.

Baada ya ile kazi kuisha kila mtu aliendelea na harakati zake zingine lakini bado tulikuwa tutawasiliana mara mojamoja.

Kuna siku alinitumia link ya group la ajira lakini nikamwambia kwasasa mimi nimeshapata sehemu ya kujishikiza na nikamtajia jina la kampuni.

Kwakua nilitoka kwenye msoto madeni nayo yalikua mengi, sasa ile mwisho wa mwezi ulivyofika tu akanambia nimuazime Tsh 50,000.

Nikamwambia kiukweli bajeti yangu haipo vizuri mana nimepata mshahara lakini karibu asilimia 65 nimelipa madeni ya watu, akaitikia sawa "hamna shida", lakini kiunyonge flani akiamini ninayo ila nimemnyima makusudi.

Baada ya kama siku tatu nikasema ngoja nijaribu kumjulia hali nione reaction yake, bwana weeeee kaisoma tu sms yangu Whatssap na imeonyesha blue tick lakini wala hajahangaika kuijibu hadi leo.

Sasa nikajiuliza kwanini hawa wenzetu hawaamini kwamba na sisi kuna muda tunakosa pesa, tena ukizingatia sio mpenzi wangu na sijawahi hata siku moja kumtamkia kwamba namtaka kimapenzi?

Mtu kama huyu hata ni ningemuazima kweli si angeingia mitini na hela yangu, maana pia wataalamu wa haya mambo wanakwambia mwanamke hakopeshwi.

Je, wewe mdau wa JF ulishawahi kutana na mtu wa namna hii?
Sasa hapa JF umelileta tukusaidie nini?
 
Ungempa tu, kwani shi ngapi...

Ungempa sio kumkopesha...
Ingekuwa ni wewe ungemkopesha mwanaume mliefanya kazi kwenye kampuni moja kwa miezi sita, tsh elf 50 ilhali asilimia 65 ya mshahara wako umeutumia kulipa madeni na huyo mwanaume sio mumeo, sio ndugu wala sio boyfriend wako? Donatila
 
Tumesanuka siku hizi, kuna manzi mmoja hivyohivyo kanicheki usiku sana anaomba nimkopeshe ya kodi ya anapoishi asubuhi yake nikamtumia. Akiniahidi mwisho wa mwezi atanilipa

Miezi 4 alinizungusha huku ananitega nimlale tumalizane, nilikomaa naye aliilipa akamaliza deni ijapokuwa alikuwa analipa kwa installment

Ilipobaki 50k akajizungungusha sana nikamwendea polisi alipoona barua ya wito jioni yake naona muhamala kwenye simu yangu
Huyo demu alikuwa na shepu mbovu mkuu a.k.a flat screen au Mzee wa kupambania
 
Hapo mbona wewe ndio kama unajishtukia kijana????

Ulijuaje kajibu kinyonge wakati ni maandishi tu??

Kwan mtu ni lazima kujibu text?
 
Tumesanuka siku hizi, kuna manzi mmoja hivyohivyo kanicheki usiku sana anaomba nimkopeshe ya kodi ya anapoishi asubuhi yake nikamtumia. Akiniahidi mwisho wa mwezi atanilipa

Miezi 4 alinizungusha huku ananitega nimlale tumalizane, nilikomaa naye aliilipa akamaliza deni ijapokuwa alikuwa analipa kwa installment

Ilipobaki 50k akajizungungusha sana nikamwendea polisi alipoona barua ya wito jioni yake naona muhamala kwenye simu yangu
😂😂😂😂
Kudaaadekii...Hadi wito wa polisi? Kwel mkuu ulikua serious!??

Sasa ujue nini, akimaliza hiyo 50k, buy buy time halaf mtengenezee mazingira umgonge sasa!😆😆
 
Kuna binti mmoja nilipata kujuana nae baada ya kukutana kwenye kazi ya muda ambayo tuliifanya kwa muda wa miezi 6.

Baada ya ile kazi kuisha kila mtu aliendelea na harakati zake zingine lakini bado tulikuwa tutawasiliana mara mojamoja.

Kuna siku alinitumia link ya group la ajira lakini nikamwambia kwasasa mimi nimeshapata sehemu ya kujishikiza na nikamtajia jina la kampuni.

Kwakua nilitoka kwenye msoto madeni nayo yalikua mengi, sasa ile mwisho wa mwezi ulivyofika tu akanambia nimuazime Tsh 50,000.

Nikamwambia kiukweli bajeti yangu haipo vizuri mana nimepata mshahara lakini karibu asilimia 65 nimelipa madeni ya watu, akaitikia sawa "hamna shida", lakini kiunyonge flani akiamini ninayo ila nimemnyima makusudi.

Baada ya kama siku tatu nikasema ngoja nijaribu kumjulia hali nione reaction yake, bwana weeeee kaisoma tu sms yangu Whatssap na imeonyesha blue tick lakini wala hajahangaika kuijibu hadi leo.

Sasa nikajiuliza kwanini hawa wenzetu hawaamini kwamba na sisi kuna muda tunakosa pesa, tena ukizingatia sio mpenzi wangu na sijawahi hata siku moja kumtamkia kwamba namtaka kimapenzi?

Mtu kama huyu hata ni ningemuazima kweli si angeingia mitini na hela yangu, maana pia wataalamu wa haya mambo wanakwambia mwanamke hakopeshwi.

Je, wewe mdau wa JF ulishawahi kutana na mtu wa namna hii?
Bila shaka huyo ana lake jambo tu, either umpe hela na umle ama uingie chaka umtongoze then awe anakuchuna , yte hyo ni mitego yake anakuwekea.

Wanawake weng wanadhan kila mwanaume ni dhaifu juu yao ya kwamba chochote atakachokitaka kwako utampa tu hvhv
 
Tumesanuka siku hizi, kuna manzi mmoja hivyohivyo kanicheki usiku sana anaomba nimkopeshe ya kodi ya anapoishi asubuhi yake nikamtumia. Akiniahidi mwisho wa mwezi atanilipa

Miezi 4 alinizungusha huku ananitega nimlale tumalizane, nilikomaa naye aliilipa akamaliza deni ijapokuwa alikuwa analipa kwa installment

Ilipobaki 50k akajizungungusha sana nikamwendea polisi alipoona barua ya wito jioni yake naona muhamala kwenye simu yangu
Duh haha, mkuu hpo ulikaza San aisee bila huruma big up
 
Sio kila mwanamke ni wakutongoza, wengine waache wabaki marafiki tu wa kawaida.
Tatizo ukiwa na urafiki na mwanamke na hujamtongoza, yeye (mwanamke) anakua anaamini kwamba unamtaka ila huna confidence ya kumtongoza!

Kwahiyo anakua anakuona kama domo zege flani tuu japo kichwani anadhani ipo siku tu utakuja kumtongoza. Wanawake hua hawaamini kabisa kwamba anaweza kuwa rafiki yako na usimtongoze, hasa kama anajijua ni mzuri. Ndio maana anaweza kuanza kukuomba hela, kukukopa nk na ukimnyima ananuna manake anaona kama humhudumii.

Binafsi sijawahi kamwe kuwa na urafiki na mwanamke ambae simkuli.
 
Duh haha, mkuu hpo ulikaza San aisee bila huruma big up
Ndio kama ulivyosema wao wanadhani kila mwanamume ni dhaifu.

Anataka kuishi maisha expensive amepanga apartment ya gharama akitegemea hela za wanaume. Atawachuna wadhaifu tu
 
Tumesanuka siku hizi, kuna manzi mmoja hivyohivyo kanicheki usiku sana anaomba nimkopeshe ya kodi ya anapoishi asubuhi yake nikamtumia. Akiniahidi mwisho wa mwezi atanilipa

Miezi 4 alinizungusha huku ananitega nimlale tumalizane, nilikomaa naye aliilipa akamaliza deni ijapokuwa alikuwa analipa kwa installment

Ilipobaki 50k akajizungungusha sana nikamwendea polisi alipoona barua ya wito jioni yake naona muhamala kwenye simu yangu
Haha..kakutana na bandidu kwel kwel....
 
Back
Top Bottom