Sio ndoto, nimeng'atwa na paka kwenye uume

Sio ndoto, nimeng'atwa na paka kwenye uume

Ukitombaa malaya hakikisha unanawanna maji ya sabuni

Mzee mmoja marandu Tajiri alilala na malaya kurudi home mbwa wake Wakarusa harufu ya nyama mbichi ya papuchi wacha wamng'ate aliensa kutibuwa India maana bongo wangekata tu [emoji1]
Ambrose kingunge nae tuseme hivo punguza uongo
 
Hii miiko ya Wazee wetu ilikuwa na maana, inaonekana kwanza wewe huna siri na privacy, kwa nini unaropoka ulienda kufunga mzigo wambao, sio hivyo tu, ila wa Kujenga shule, hizo details zote za nini?

Kwa nini hayo mambo ya kuongea na mke tena uweke public, kwa nini? Hii inaonyesha una uzaifu mkubwa sana wa kuropoka mambo yako, either kwa kutaka sifa au ni Hulka.

Kwa nini ukalale kwa wakwe? Na wajue ABC zako? Kulala kwa wakwe sio jambo jema sana, ila okay, unalala, kwa nini ukalale wakati mkeo hayupo? Ukiwa kwa wakwe nani mwenyeji wako?

Ukianza safari ya Biashara lazima uwe na nidhamu sana sana, na uache kuropoka, vita vya biashara ni vigumu, na usiwe na ukaribu sana na wakwe, utalishwa vitu vya ajabu uanze kulia lia hovyo, unachezewa michezo utakuja juta.

Unaweza kusema, mke tupo pamoja, bla bla bla, maana hela nikipata kapata yeye, kuwa utayaona, unaweza kuwa na mke, anakula kwenye biashara yako, halafu akaiharibu kishirikina kabisa.....

Mimi nashangaa sana watu wanasema ushoga sio mila zetu, mambo mengi sio mila, mke sio wa kushirikisha mambo yote, una mchenga chenga kwa akili, watu wengi wamepotea kwa sababu ya wake zao, wengine kufa kabisa.

Nina uhakika ndoa yako ina less than 5 years, you have a long way to go, mwabamke kumuelewa dogo ni ngumu sana, yaitaji mda, busara, na uvumilivu, achana na masifa ya kwenda na Horse kwa wakwe.

Kwa kifupi, wakwe hawana msaada kwako wowote, wewe ndo wa msaada kwako, nawakikuona una uwezo, hata kulogwa wewe utalogwa.
🤣🤣🤣 boss mbona umekua mkali sanaa?

Punguza ushauri, ukale, Imani ya kupigwa kila kitu, kuamini ushirikina sana...

Halaf relaaaax, ni hali za kupitaa
Survival - Destiny's Child.
 
Sio ndoto, ni tukio halisi. Baada ya kuperuzi JF nikampigia mke wangu, maana niko Mafinga nimekuja kufunga mzigo wa mbao kwa ajili ya ujenzi wa shule.

Nilipomaliza kuongea na simu, nimekuja kushtuliwa na maumivu makali sana kitu kimeng'ata uume wangu na kimeushikilia.

Uzuri switch iko hapahapa kitandani, nikakuta ni paka taa ilipowaka akaanza kuhangaika namna ya kutoka kwenye chandarua.

Najiuliza mlango na madirisha nilkuwa nimefunga, kaingiaje? Amewezaje kuingia kwenye net.

Nimejichunguza, siòni damu, ila nina maumivu. Nimemfungulia mlango aende zake. Nimefikia nyumbani kwa ndugu wa mke wangu, walinikatalia kabisa nisilale gesti
Wahi hospital ukapige sindano, paka ana Sumu mbaya sana tena affect mpaka maini.

Usiseme hujatoka damu, kitendo cha kukung'ata tu chukuwa hatuwa, katika hali ya kawaida paka huwa hang'ati binadamu mpaka umchokoze, na watu wengine tu wanalala na paka kitandani hawana tatizo lolote.

Open your eyes.
 
Wahi hospital ukapige sindano, mpaka ana Sumu mbaya sana tena affect mpaka maini.

Usiseme hujatoka damu, kitendo cha kukung'ata tu chukuwa hatuwa, katika hali ya kawaida mpaka huwa hang'ati binadamu mpaka umchokoze, na watu wengine tu wanalala na paka kitandani hawana tatizo lolote.

Open your eyes.
Asante kwa ushauri mzuri
 
Hii miiko ya Wazee wetu ilikuwa na maana, inaonekana kwanza wewe huna siri na privacy, kwa nini unaropoka ulienda kufunga mzigo wambao, sio hivyo tu, ila wa Kujenga shule, hizo details zote za nini?

Kwa nini hayo mambo ya kuongea na mke tena uweke public, kwa nini? Hii inaonyesha una uzaifu mkubwa sana wa kuropoka mambo yako, either kwa kutaka sifa au ni Hulka.

Kwa nini ukalale kwa wakwe? Na wajue ABC zako? Kulala kwa wakwe sio jambo jema sana, ila okay, unalala, kwa nini ukalale wakati mkeo hayupo? Ukiwa kwa wakwe nani mwenyeji wako?

Ukianza safari ya Biashara lazima uwe na nidhamu sana sana, na uache kuropoka, vita vya biashara ni vigumu, na usiwe na ukaribu sana na wakwe, utalishwa vitu vya ajabu uanze kulia lia hovyo, unachezewa michezo utakuja juta.

Unaweza kusema, mke tupo pamoja, bla bla bla, maana hela nikipata kapata yeye, kuwa utayaona, unaweza kuwa na mke, anakula kwenye biashara yako, halafu akaiharibu kishirikina kabisa.....

Mimi nashangaa sana watu wanasema ushoga sio mila zetu, mambo mengi sio mila, mke sio wa kushirikisha mambo yote, una mchenga chenga kwa akili, watu wengi wamepotea kwa sababu ya wake zao, wengine kufa kabisa.

Nina uhakika ndoa yako ina less than 5 years, you have a long way to go, mwabamke kumuelewa dogo ni ngumu sana, yaitaji mda, busara, na uvumilivu, achana na masifa ya kwenda na Horse kwa wakwe.

Kwa kifupi, wakwe hawana msaada kwako wowote, wewe ndo wa msaada kwako, nawakikuona una uwezo, hata kulogwa wewe utalogwa.
Haya yote umeyaandika kutokana na hisia hasi zako, hadi unadiriki kusema ndoa yangu ina miaka mitano.

Hapo kuna jambo gani la siri ambalo nime disclose? Je tukionana leo ana kwa ana utatambua kwamba mimi ndiye msimuliaji wa tukio hili?
 
Wahi hospital ukapige sindano, mpaka ana Sumu mbaya sana tena affect mpaka maini.

Usiseme hujatoka damu, kitendo cha kukung'ata tu chukuwa hatuwa, katika hali ya kawaida mpaka huwa hang'ati binadamu mpaka umchokoze, na watu wengine tu wanalala na paka kitandani hawana tatizo lolote.

Open your eyes.
Vile vile paka hupenda kucheza na vitu kwahiyo jamaa anapoongea na mke wake labda hisia zilipanda. Huenda baaada ya hisia kupanda hiyo kitu ikainuka ikaanza kucheza cheza hivyo paka akaona acheze nayo lakini ghafla akaona ni laini ndiomaana akatest kuingata alipoona utofauti akaacha. Angekuwa na Nia ya kushambulia angemuumiza vibaya Sana.
 
Kama paka amekata kabisa, niachie tu mkeo maana hautakuwa na matumizi nae.
Sio ndoto, ni tukio halisi. Baada ya kuperuzi JF nikampigia mke wangu, maana niko Mafinga nimekuja kufunga mzigo wa mbao kwa ajili ya ujenzi wa shule.

Nilipomaliza kuongea na simu, nimekuja kushtuliwa na maumivu makali sana kitu kimeng'ata uume wangu na kimeushikilia.

Uzuri switch iko hapahapa kitandani, nikakuta ni paka taa ilipowaka akaanza kuhangaika namna ya kutoka kwenye chandarua.

Najiuliza mlango na madirisha nilkuwa nimefunga, kaingiaje? Amewezaje kuingia kwenye net.

Nimejichunguza, siòni damu, ila nina maumivu. Nimemfungulia mlango aende zake. Nimefikia nyumbani kwa ndugu wa mke wangu, walinikatalia kabisa nisilale gesti
 
Sio ndoto, ni tukio halisi. Baada ya kuperuzi JF nikampigia mke wangu, maana niko Mafinga nimekuja kufunga mzigo wa mbao kwa ajili ya ujenzi wa shule.

Nilipomaliza kuongea na simu, nimekuja kushtuliwa na maumivu makali sana kitu kimeng'ata uume wangu na kimeushikilia.

Uzuri switch iko hapahapa kitandani, nikakuta ni paka taa ilipowaka akaanza kuhangaika namna ya kutoka kwenye chandarua.

Najiuliza mlango na madirisha nilkuwa nimefunga, kaingiaje? Amewezaje kuingia kwenye net.

Nimejichunguza, siòni damu, ila nina maumivu. Nimemfungulia mlango aende zake. Nimefikia nyumbani kwa ndugu wa mke wangu, walinikatalia kabisa nisilale gesti
Inawezekana pia aliingia wakati mlango uko wazi akajificha uvunguni bila wewe kujua.
 
Ukaamua kabisa kulala uchi ukweni mkuu?
 
Daaah mkuu pole sana, ila shukuru ulilala chali kama ungekuwa umelala kifudifudi AMBACHO angekufanya usingekuja adithia humu.
 
Fanya safari zako kimya kimya,
huwezi kukosa excuse ya kukataa mualiko wa kwenda kulala kwa ndugu.Nenda salimia ondoka
 
Back
Top Bottom