Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 12,823
- 21,210
Ameongea mambo ya msingi sana.Duuuh povu lote lanini?
Hizo ni code za mafanikio.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameongea mambo ya msingi sana.Duuuh povu lote lanini?
[emoji103][emoji1636][emoji1636][emoji1636][emoji1636][emoji1636][emoji1636][emoji1636][emoji1636][emoji1636]🧉[emoji481]Ukitombaa malaya hakikisha unanawanna maji ya sabuni
Mzee mmoja marandu Tajiri alilala na malaya kurudi home mbwa wake Wakarusa harufu ya nyama mbichi ya papuchi wacha wamng'ate aliensa kutibuwa India maana bongo wangekata tu [emoji1]
Mbaya ehhh kwa sauti ya mama Rwakatare R.i.p😆😆😆 nyau kala utamu wa watu
Tena kwa ndugu wa mke!!Kwahiyo unalala bila nguo!!!
Wake za watu huko ni hatari sana, usijaribu kuchukua bila mwenyeji kukuelekeza.Sio ndoto, ni tukio halisi. Baada ya kuperuzi JF nikampigia mke wangu, maana niko Mafinga nimekuja kufunga mzigo wa mbao kwa ajili ya ujenzi wa shule.
Nilipomaliza kuongea na simu, nimekuja kushtuliwa na maumivu makali sana kitu kimeng'ata uume wangu na kimeushikilia.
Uzuri switch iko hapahapa kitandani, nikakuta ni paka taa ilipowaka akaanza kuhangaika namna ya kutoka kwenye chandarua.
Najiuliza mlango na madirisha nilkuwa nimefunga, kaingiaje? Amewezaje kuingia kwenye net.
Nimejichunguza, siòni damu, ila nina maumivu. Nimemfungulia mlango aende zake. Nimefikia nyumbani kwa ndugu wa mke wangu, walinikatalia kabisa nisilale gesti
Snake in monkeys shadowPaka vs Nyoka nakumbuka Jack chan anakupiga style zote mbili😅😅
na akaja akatung'ata sikio kuwa ni mtani jirani.Juma nature nae kwenye mzee wa busara alijiuliza "rashidi mlango kafunga, madrish nayo yalifungwa, sasa kapita pitaje, kwenye kuta au kwenye nyufa" 🤣
Pole mzee.
Japo ni swali na bali ya Ovyoo sanaKwahiyo unalala bila nguo!!!
Nilishawahi ng'atwa na paka tangu ninamiaka 6 na sikupata Antirabies vaccine mkuu na mpaka leo nipo.Watu wengi wanaotokwa jasho jingi utupuni huwa wanatoa harufu ya utupu hata wakioga.
Huenda paka alifuata harufu akaona dhakari inafanana na nyama.
Muhimu kapate chanjo ya kichaa cha mbwa (rabies vaccine).
Uking'atwa na mbwa, paka, popo, fisi au mbwea(bwea/jackal) lazima upate chanjo vinginevyo unakikaribia kifo ndani ya miezi michache.