Yaani waanze kujitafakari baada ya Yanga kudhulumiwa? Mbona ligi inaelekea ukingoni na Yanga imenufaika na dhuluma za marefarii dhidi ya timu nyingi tu?Marefa waanza sasa kujitafakari kwann hata mmoja hajaitwa afcon
Nawapenda sana wachambuzi wasioegemea upande kama wewe. Kilicholetwa mezani ni "Uhalali au Uharamu" wa goli la Tambwe dhidi ya Mtibwa. Nakubaliana na wewe kwamba hakuna hujuma katika tukio lile, ila ni mwendelezo wa umbumbumbu wa waamuzi wetu. Hali hii inachagizwa na Bodi ya ligi kutochukua hatua kwa waamuzi wanaoboronga kama huyu mshika kibendera Na.1 wa mechi hiyo. Kama wangekuwa wanachukuliwa hatua wangekuwa makini na makosa yangepungua.Ndio maana soka letu haliendelei kwa sababu ya unywanywa kama huu, wa kulalamika kuhujumiwa, akuhujumu nani ww na kwa faida gani..
Tunapaswa tutambue vitu viwili
1. Refa ni binadamu si wakamilifu, hata wakina collina walikuwa wanakosea japo ni kwa uchache..
2. Marefa watz ni wabovu kupita maelezo, hawana umakini mchezoni wakati mwingine wanashindwa kuzitafsir sheria kwa haraka..
Utashangaa mpira umeinsha manara anakuja na tv analalamika, haya masuala ya kulalama lalama upate huruma ya watu ni upuuzi!!
Hakuna cha kuhujumiwa wala nini ni refa alitoa boko, na makosa ya namna hii ni mengi mnooo kwa waamuzi wetu, sheria ya offside inawalamba mnoo chenga, acheze yanga, acheze simba, iwe lipuli, ndanda sujui kote huko huwa naona makosa yale yale.
Hakika mkuu, waamuzi wetu wabovu tukubali hilo tuna waamuzi wenye beji za fifa lakini katika michuano ya caf(afcon) hatuna hata mmoja..Nawapenda sana wachambuzi wasioegemea upande kama wewe. Kilicholetwa mezani ni "Uhalali au Uharamu" wa goli la Tambwe dhidi ya Mtibwa. Nakubaliana na wewe kwamba hakuna hujuma katika tukio lile, ila ni mwendelezo wa umbumbumbu wa waamuzi wetu. Hali hii inachagizwa na Bodi ya ligi kutochukua hatua kwa waamuzi wanaoboronga kama huyu mshika kibendera Na.1 wa mechi hiyo. Kama wangekuwa wanachukuliwa hatua wangekuwa makini na makosa yangepungua.
Vipi lile goli la Ajib kuifunga Yanga akiwa Simba lililokataliwa kwa offside?SIO OFFSIDE [emoji119]Kwa mujibu wa Kipyenga cha mwisho cha Mwamuzi Mstaafu, Osman Kazi, kinachoruka Azam Sports 2 kila Alhamis Saa 3:30 usiku..... goli la AmissTambwe dhidi ya Mtibwa Sugar, HAIKUWA Offside. Lilikuwa goli halali lililokataliwa na mwamuzi msaidizi namba moja (Line One).
.
.
Kwa namna picha hiyo ilivyochorwa mstari wa mwisho kuonesha Offside, unakubaliana na Osman Kazi au hapana?...Toa maoni yako.
#tpl
#chombokwahewa
View attachment 1075964Soka Football Central on Instagram: “SIO OFFSIDE 🙌Kwa mujibu wa Kipyenga cha mwisho cha Mwamuzi Mstaafu, Osman Kazi, kinachoruka Azam Sports 2 kila Alhamis Saa 3:30 usiku.....…”
0 Likes, 0 Comments - Soka Football Central (@soka_app) on Instagram: “SIO OFFSIDE 🙌Kwa mujibu wa Kipyenga cha mwisho cha Mwamuzi Mstaafu, Osman Kazi, kinachoruka Azam…”www.instagram.com
Marefa waanza sasa kujitafakari kwann hata mmoja hajaitwa afcon