Sio sawa CHADEMA kudai ni Chama Kikuu cha upinzani wakati Bungeni wana kiti kimoja

Sio sawa CHADEMA kudai ni Chama Kikuu cha upinzani wakati Bungeni wana kiti kimoja

kmbwembwe

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
10,892
Reaction score
7,780
CHADEMA hawajitambui kwa kujiita chama kikuu cha upinzani huku bungeni wana kiti kimoja tu cha kuchaguliwa na wananchi. Wamekua hawakubali ukweli kwamba hawana ridhaa ya wananchi kuongoza nchi hii.

CHADEMA huku wakifuata ushauri wa mabeberu wasiyoitakia heri nchi wamekua wakidai wameporwa ushindi uchaguzi mkuu 2020.
Utulivu wa nchi kisiasa na amani baada ya uchaguzi ilionekana ni wazi ushindi mkubwa wa CCM chini ya uongozi wa magufuli kilikua kitu sahihi. Ushindi mkubwa wa CCM chini ya uongozi wa magufuli ulitegemewa sio na watanzania tu ila ulimwengu kutokana na kukubalika magufuli kwa maendeleo makubwa yaliyoletwa kwa muda mfupi chini ya CCM ya Magufuli.

Tunaona sasa chadema ili kuleta ghasia na kuvuruga utulivu wa nchi wanakuja na uanaharakati wa kuipotezea nchi malengo ya maendeleo ili tuanze kujihusisha na mambo hayana tija.

CHADEMA wanajifanya kama vile suala la katiba halijashughulikiwa na wao wakiwa wachache walijitoa bunge la katiba waliyobaki wakakamilisha kuandaa katiba mpya.

Kama shida yao ni katiba mpya katiba mpya ipo kilichokua kimebaki ni kupigiwa kura tu.

Hata hivyo kwa kua wapinzani ndio waliyokua wanadai katiba mpya kuliko CCM Serikali imegundua suala hilo linatumika na wapinzani kufanya siasa tu kwa hivyo wao wameamua demokrasia ya kweli ni kujihusisha na kujenga uchumi wa nchi wenye kuwafaidi umma kwa kua katiba iliyopo ni nzuri na inatosha.
 
Raia tunajua hivyo,kwani kwa hofu mliamua kuwadhulumu kwa mabavu tena kiharamia,nyie endeleeni kujifariji,tena kwa kutumia mtutu,na wasaidizi wengine wateule.
 
Mtoa mada, Kwa kuwa tupo kwenye mfumo wa vyama vingi na Chadema wana mbunge mmoja sasa ungetujuza ni chama kipi kinachostahiki kuitwa Chama kikuu cha upinzani pia utujuze nacho kina wabunge wangapi?.
 
Kama hakina sifa hiyo CCM wangeweza kununua wabunge Chauma au TLP nk
 
Kwa hiyo chama kikuu cha upinzani kwa sasa ni wale Wabunge wasomi wa Ccm ee?
 
CDM ni chama cha kiharakati hawana tofauti na Uamsho nia yao ni kuharibu na kututoa watz mchezoni kwa jina la Katiba Mpya
 
Chadema chenye mbunge mmoja wala sio chama kikuu cha upinzani tukiangalia kwa idadi ya viti. ACT ina viti vitatu au vinne. Chadema sifa yake ni chama kinaongoza kwa chokochoko. Its the most vocal and disruptive party. Hakika kwa sasa hatuna chama kikuu cha upinzani.
Mtoa mada, Kwa kuwa tupo kwenye mfumo wa vyama vingi na Chadema wana mbunge mmoja sasa ungetujuza ni chama kipi kinachostahiki kuitwa Chama kikuu cha upinzan
 
CHADEMA hawajitambui kwa kujiita chama kikuu cha upinzani huku bungeni wana kiti kimoja tu cha kuchaguliwa na wananchi. Wamekua hawakubali ukweli kwamba hawana ridhaa ya wananchi kuongoza nchi hii.

CHADEMA huku wakifuata ushauri wa mabeberu wasiyoitakia heri nchi wamekua wakidai wameporwa ushindi uchaguzi mkuu 2020.
Utulivu wa nchi kisiasa na amani baada ya uchaguzi ilionekana ni wazi ushindi mkubwa wa CCM chini ya uongozi wa magufuli kilikua kitu sahihi. Ushindi mkubwa wa CCM chini ya uongozi wa magufuli ulitegemewa sio na watanzania tu ila ulimwengu kutokana na kukubalika magufuli kwa maendeleo makubwa yaliyoletwa kwa muda mfupi chini ya CCM ya Magufuli.

Tunaona sasa chadema ili kuleta ghasia na kuvuruga utulivu wa nchi wanakuja na uanaharakati wa kuipotezea nchi malengo ya maendeleo ili tuanze kujihusisha na mambo hayana tija.

CHADEMA wanajifanya kama vile suala la katiba halijashughulikiwa na wao wakiwa wachache walijitoa bunge la katiba waliyobaki wakakamilisha kuandaa katiba mpya.

Kama shida yao ni katiba mpya katiba mpya ipo kilichokua kimebaki ni kupigiwa kura tu.

Hata hivyo kwa kua wapinzani ndio waliyokua wanadai katiba mpya kuliko CCM Serikali imegundua suala hilo linatumika na wapinzani kufanya siasa tu kwa hivyo wao wameamua demokrasia ya kweli ni kujihusisha na kujenga uchumi wa nchi wenye kuwafaidi umma kwa kua katiba iliyopo ni nzuri na inatosha.
Wewe akili zako umeacha wapi? Au na wewe hutaki katiba mpya, kweli Una akili wewe...?!
 
Kwa akili za wana-CCM
Hata tukisema CHADEMA ni maskini watabisha na kusema wao ndio maskini zaidi.
Wanataka kushindana na CHADEMA kwa kila jambo.
Ila Inshaallah.
 
CHADEMA hawajitambui kwa kujiita chama kikuu cha upinzani huku bungeni wana kiti kimoja tu cha kuchaguliwa na wananchi. Wamekua hawakubali ukweli kwamba hawana ridhaa ya wananchi kuongoza nchi hii.

CHADEMA huku wakifuata ushauri wa mabeberu wasiyoitakia heri nchi wamekua wakidai wameporwa ushindi uchaguzi mkuu 2020.
Utulivu wa nchi kisiasa na amani baada ya uchaguzi ilionekana ni wazi ushindi mkubwa wa CCM chini ya uongozi wa magufuli kilikua kitu sahihi. Ushindi mkubwa wa CCM chini ya uongozi wa magufuli ulitegemewa sio na watanzania tu ila ulimwengu kutokana na kukubalika magufuli kwa maendeleo makubwa yaliyoletwa kwa muda mfupi chini ya CCM ya Magufuli.

Tunaona sasa chadema ili kuleta ghasia na kuvuruga utulivu wa nchi wanakuja na uanaharakati wa kuipotezea nchi malengo ya maendeleo ili tuanze kujihusisha na mambo hayana tija.

CHADEMA wanajifanya kama vile suala la katiba halijashughulikiwa na wao wakiwa wachache walijitoa bunge la katiba waliyobaki wakakamilisha kuandaa katiba mpya.

Kama shida yao ni katiba mpya katiba mpya ipo kilichokua kimebaki ni kupigiwa kura tu.

Hata hivyo kwa kua wapinzani ndio waliyokua wanadai katiba mpya kuliko CCM Serikali imegundua suala hilo linatumika na wapinzani kufanya siasa tu kwa hivyo wao wameamua demokrasia ya kweli ni kujihusisha na kujenga uchumi wa nchi wenye kuwafaidi umma kwa kua katiba iliyopo ni nzuri na inatosha.
Wanaosema hivyo ni watu wenye akili timamu sio kasuku kama wewe
 
Back
Top Bottom