MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 4,236
- 5,907
Acha wauwane wapumbavu hawa wamehujumu sana taifa hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais wa mashogaChai rais ajaye ni Lissu tu other wise kwa mala ya kwanza wabongo wataingia mtaani 2025
Lisu haji kuwa rais wa nchi hii milele. Kama ilivyo kwa mikamba na madelu. Hao watatu urais wataishia kuuskia tuChai rais ajaye ni Lissu tu other wise kwa mala ya kwanza wabongo wataingia mtaani 2025
Na hii vita sio ya mama hii ni vita ya makundi mawili yaliyo nje kundi moja linaongoza kutokea nje lingine haliongozi Kwa hiyo lazma wajipange mapema kuandaa mtu wao si unajua huyu aliepo Hana ndugu huku? Lile kundi limempa undugu wa mchongo nalo pia Lina mtu wao [emoji3]Embu iachwe ifanyike tupone!
Maana mliopo! Hamfai Kwa lolote
Kutafuta madaraka siyo Nia ovu, mbowe, lissu, maalim self( r.i.p) nk wametafuta madaraka miaka na miaka na hakuna anayeamsema wana Nia ovu.Maji hupwa na kujaa, dhoruba huibuka na kufanya yake, mwisho wa siku maji hurejea kwenye usawa wake
Mungu inusuru Tanzzania dhidi ya wenye nia ovu kupitia madaraka
Achana na hilo puuzi. Haitawezekana hata siku moja tz ikaongozwa na mbwatukaji.Chai rais ajaye ni Lissu tu other wise kwa mala ya kwanza wabongo wataingia mtaani 2025
Wewe unaona msoga wanakoipeleka nchi Kuna usalama? Badala ya kulaumu mafisadi yaliyoko madarakani kwa sasa unalaumu wanaotaka kuuondoa huu ulaji kwa urefu wa makamba Yao.Watu wanatetea matumbo yao badala ya Nchi what a shame
Ninakozungumzia ni kukanyagana ndani ya chama chetuKutafuta madaraka siyo Nia ovu, mbowe, lissu, maalim self( r.i.p) nk wametafuta madaraka miaka na miaka na hakuna anayeamsema wana Nia ovu.
Hata majaliwa akitafuta madaraka ni sawa tuu maana hata samia nae anatafuta madaraka 2025.
Rais wa mashoga
Lisu haji kuwa rais wa nchi hii milele. Kama ilivyo kwa mikamba na madelu. Hao watatu urais wataishia kuuskia tu
Achana na hilo puuzi. Haitawezekana hata siku moja tz ikaongozwa na mbwatukaji.
Wote wanatafuta kula tuWewe unaona msoga wanakoipeleka nchi Kuna usalama? Badala ya kulaumu mafisadi yaliyoko madarakani kwa sasa unalaumu wanaotaka kuuondoa huu ulaji kwa urefu wa makamba Yao.
Usitegemee wanasiasa hata siku moja..., CCM ni vehicle tu wachumia tumbo ni wale wale ndio watakwenda hapa au pale...Mbio za uchaguzi 2025 zimeshaanza.
Wameshaanza kuonyesha rangi zao mdoho mdogo.Hii nchi bila CCM tungekuwa mbali Sana.
Kwani wewe ni nani? Hakuna anayepona kifo chini ya jua, atakufa tu siku yake ikija. Urais kama anauota asahau. Au atakua rais wa ubelgiji?Umekuwa Mungu. Kama alipona kifo wewe ni Nani?
CCM MBELE KWA MBELEWewe unaona msoga wanakoipeleka nchi Kuna usalama? Badala ya kulaumu mafisadi yaliyoko madarakani kwa sasa unalaumu wanaotaka kuuondoa huu ulaji kwa urefu wa makamba Yao.
Nilipoona wamemtaja lusinde mara moja nilicheka sana kwa kujua kikundi hiki hakina weledi, malengo wala dira! In short; sio kundi makiniAmbalo linaundwa na viongozi waandamizi wa awamu ya tano wa Serikali na chama, Kiongozi wao Mkuu ni Kitila Mkumbo, Katibu ni Mwita Waitara akisaidiwa na Mpina na Lusinde.