victor moshi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2014
- 829
- 1,061
True say mi mwenyewe natafuta chakaa palee ili nijulikane nisepee....!!Kwangu mimi EATV na EA Radio vituo bora zaidi kwa burudani hapa Bongo. Kile ni chuo kwani wanastahili pongezi wapo very professional. Huwezi kuzuia watu kuondoka ni sehemu ya maisha tu. Wanapita watakuja wengine wananolewa wanaondoka na maisha yanasonga. Wangebaki kina Bush baby pale hadi leo kuna Kennedy the Remy D wasingepata nafasi ya kushaini na kuonekana lulu.
moja kwa moja ni tatizo la menejimenti hapo.Employee turnover kubwa
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]efm tunae mmoja tu huyo dj ommy crazy ila nenda clouds sasa nusu ya watangazaji wao wamewatoa pale
Na kukiwa na employee turn over ni tatizo kwelimoja kwa moja ni tatizo la menejimenti hapo.
na hasa kwenye swala la malipo naskia jamaa huwa wanalipa kama hela zina wauma sana
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia Eat Africa radio na Tv, wamekuwa ni walimu kwa watangazaji wanaotoka pale yaani watangazaji wanatoka wamekwiva ki maadili hadi utendaji.
Lakini ni kama swali najiuliza ni nini kunachowakimbiza hawa watu, ni Mshahara(maslahi), kujuana, unyanyasaji kazini au ni nini ambacho wanakikimbia na wanako kwenda wanakuwa dhahabu.
Orodha ni ndefu ya walioondoka tangu enzi za Bush baby, Steve ka fire, wale naweza sema labda waliona warudi nchini kwao wakaanze maisha ya huko. Hapa kati kati walioondoka ni wengi:
Dj AD aka Mafuvu baby, Anna Peter, Allan Lucky, Michael Lukindo, Sebastian Mwaikambo, Bahati Abdul, hivi karibuni wamepata pigo na si pigo dogo hasa kwa vijana waliowatengeneza kisha wakanyakuliwa ikiwa ni Kenedy the remedy, Dj sinyorita na Mammy Babby mara upepo haujatulia Dj ambae alionekana kuziba pengo la Mafuvu nae kaenda E-fm.
Tar 8 kwenye tamasha la Komaa concert jijini Mwanza alionekana Jukwaani akisimamia shoo kwa wasanii walio alikwa hakuwa mwingine ni Dj Ommy Crazy, ambae kwa muda amekuwa hasikiki redioni (Ea radio) na alikuwa akifanya yake nilihisi jambo ila nikasema acha muda uongee.
My take Ea radio kwa sasa mna Frida au Queen fifi na King smash ni kama hadhina mliobaki nayo ni watu ambao huchoki kuwasikiliza jaribuni kuwalinda kimaslahi na vinginevo waibebe redio, radio inakosa mvuto msipo kuwa makini hao hawana muda mrefu watawapokonya.
Program meneja wa Ea radio naamini atapita hapa.
umeniumbusha hii "Good people don’t leave good organizations—they leave poor managers!"Na kukiwa na employee turn over ni tatizo kweli
Patrik Nyembera pia ni zao la EATV kaenda zake azam tv kwenye vipindi vya michezo,Captain Michael Maluwe nae pia ni zao la ipp media kupitia ITV kipindi cha "tamasha la michezo" sasa hivi anakula mashavu azam tv.....Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia Eat Africa radio na Tv, wamekuwa ni walimu kwa watangazaji wanaotoka pale yaani watangazaji wanatoka wamekwiva ki maadili hadi utendaji.
Lakini ni kama swali najiuliza ni nini kunachowakimbiza hawa watu, ni Mshahara(maslahi), kujuana, unyanyasaji kazini au ni nini ambacho wanakikimbia na wanako kwenda wanakuwa dhahabu.
Orodha ni ndefu ya walioondoka tangu enzi za Bush baby, Steve ka fire, wale naweza sema labda waliona warudi nchini kwao wakaanze maisha ya huko. Hapa kati kati walioondoka ni wengi:
Dj AD aka Mafuvu baby, Anna Peter, Allan Lucky, Michael Lukindo, Sebastian Mwaikambo, Bahati Abdul, hivi karibuni wamepata pigo na si pigo dogo hasa kwa vijana waliowatengeneza kisha wakanyakuliwa ikiwa ni Kenedy the remedy, Dj sinyorita na Mammy Babby mara upepo haujatulia Dj ambae alionekana kuziba pengo la Mafuvu nae kaenda E-fm.
Tar 8 kwenye tamasha la Komaa concert jijini Mwanza alionekana Jukwaani akisimamia shoo kwa wasanii walio alikwa hakuwa mwingine ni Dj Ommy Crazy, ambae kwa muda amekuwa hasikiki redioni (Ea radio) na alikuwa akifanya yake nilihisi jambo ila nikasema acha muda uongee.
My take Ea radio kwa sasa mna Frida au Queen fifi na King smash ni kama hadhina mliobaki nayo ni watu ambao huchoki kuwasikiliza jaribuni kuwalinda kimaslahi na vinginevo waibebe redio, radio inakosa mvuto msipo kuwa makini hao hawana muda mrefu watawapokonya.
Program meneja wa Ea radio naamini atapita hapa.
Kwani kabla ilikuaje bila wao.Daah EATV na EA radio inazidi kubomoka...Sam Missago,Irene Tillya,Zembwela na Dullah Planet wakiondoka sijui itakuwaje
Haikuwa imechangamka sana kwa mtazamo wanguKwani kabla ilikuaje bila wao.
Sure... Sure it isumeniumbusha hii "Good people don’t leave good organizations—they leave poor managers!"
Yaani hao uliowataja ukiongeza na Junior jr ndio uhai wa redio pale vinginevo hamna kitufrida amani (queen fifi) na king smash nawakubali sana huwa wananifanya niisikilize EA radio sio wale kina nyambua hovyo kabisa...wana mambo ya ukale sana kifupi hawaendi na mazingira ya sasa ya muziki wao wanakomaa na enzi za kina nature wakati zilishapitwa na wakati
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Ukishakuwa na Ujuzi usiendekeze jina saka maslahi laaa sivo utakufa ukiwa na jina kubwa bila hata godoroAiseee hapa kuna ukweli
Mtupu maana jamaa
Pale wanapukutika
Kama njugu na hawaend
Station zingne n efm na
Clouds tu
Ipp n sawa tu na club ya arsenal ambayo kaz yao
N kuwakuza na kuwafundisha
Kaz madogo af wakishajua
Wanashindwa kuwathamin
Na ndo kama hvo wanajichomoa mdogo mdogo