gwa myetu
JF-Expert Member
- Aug 18, 2014
- 4,473
- 4,666
Biashara gani alizonazo zinafanya poa? Dingi bahili sana yule. Na tena sasa hivi katoto kanamkamua mbegu hadi akili soon majanga. Wenye kumtegemea wajipange.
Basi amkabidhi huyo bibie Klyn uongozi wa East africa radio na tv maana anaakili za ujana bila shaka atabadilisha. Upande wa Itv wao hawana tatizo