Biashara gani alizonazo zinafanya poa? Dingi bahili sana yule. Na tena sasa hivi katoto kanamkamua mbegu hadi akili soon majanga. Wenye kumtegemea wajipange.
Uko smart. Mda si mrefu Jaklin atakamata hatamuBasi amkabidhi huyo bibie Klyn uongozi wa East africa radio na tv maana anaakili za ujana bila shaka atabadilisha. Upande wa Itv wao hawana tatizo
Kweli mkuu hao jamaa hasa uyo dullah wanakera sana...hasa wanavobana puaEA Radio na EATV ni wabinafsi,wanachuki na wanaroho mbaya sana,haswa Dullah wa Planet Bongo na Samwel Misago aka Sammisago na yule Program Manager wao ndio watu wanaohujumu hizi station,ila bila ya hao watu ni station nzuri sana kwa TZ na EA kwa ujumla.UKITAKA KUDHIBITISHA HILO,ANGALIA HAWANA MATANGAZO MENGI NA SABABU KUBWA MAKAMPUNI/TAASISI/WATU BINAFSI WANAONA HAKUNA WATANGAZAJI WENYE KUVUTIA WASIKILIZAJI.Kumbuka Radio/Tv zenye matangazo mengi maana yake zinapendwa na makampuni,na makampuni yanaangalia vipindi au watangazaji wenye kuvutia wasikilizaji/watazamaji pamoja na kusambaa hadi vijijini na mijini.
sasa Sam misago na dulah ndo wanabania matangazo??? Dah haya bwana!!EA Radio na EATV ni wabinafsi,wanachuki na wanaroho mbaya sana,haswa Dullah wa Planet Bongo na Samwel Misago aka Sammisago na yule Program Manager wao ndio watu wanaohujumu hizi station,ila bila ya hao watu ni station nzuri sana kwa TZ na EA kwa ujumla.UKITAKA KUDHIBITISHA HILO,ANGALIA HAWANA MATANGAZO MENGI NA SABABU KUBWA MAKAMPUNI/TAASISI/WATU BINAFSI WANAONA HAKUNA WATANGAZAJI WENYE KUVUTIA WASIKILIZAJI.Kumbuka Radio/Tv zenye matangazo mengi maana yake zinapendwa na makampuni,na makampuni yanaangalia vipindi au watangazaji wenye kuvutia wasikilizaji/watazamaji pamoja na kusambaa hadi vijijini na mijini.
hahaha yeye summer anasema dj mzuri hachagui nyimbo anapiga za aina zotee ila siku nyingine anapiga magoma makaliDj summer anapiga nyimbo mbaya sijapata kuona..ma dj wapo clouds bhana
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Mkuu Na wewe ni presenter? Tuwekee ka demo tusikie swagree[emoji109]True say mi mwenyewe natafuta chakaa palee ili nijulikane nisepee....!!
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
na yule jamaa wa the cruise king smash anajua aisee sijui ilikuaje wakamtoa fifi kwenye the cruise! ilikua kombineshen kali balaaJR JUNIOR ,QUEEN FIFI na DULLAH VIBE KAMA LOTE.
Haaaaaaa waza waza waza waza waza VIBE KAMA LOTE,na yule jamaa wa the cruise king smash anajua aisee sijui ilikuaje wakamtoa fifi kwenye the cruise! ilikua kombineshen kali balaa
Imeisha hiyoooDuuh!! Frida Aman naye namsikia hapa Clouds fm sijui ndo washamchukua au
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hawa Clouds hawa duuh!!Imeisha hiyooo
Ndiyo tunawajua kwani wamefanyaje mkuuJamani Kuna anayewajua Hawa watangazaji was ea radio David Rwanyagira Zembwela na Miriam Jr Junior Dj Sama Tz Frida au Queen Fifi