el_magnefico
JF-Expert Member
- Nov 6, 2015
- 495
- 575
Usijifariji kutoangalia kinyesi chako wakati unaharisha kwamba itatoa ukweli kuwa unaharisha. Kujieleza kunaweza kuwa ni kipimo cha fikra za mtu,mfano niliona anaeleza kuwa kuna watu wanamfanyia figisu kwenye suala la views huko youtube wakati kiuhalisia ni tofauti kabisa.Sisi tunataka Muziki wake kujieleza kwake hatuna shida napo mkuu...jamaa akishatoaga ngoma ikawatoa kwenye reli huwa mnakuja na upuuzi mwiiiiingi kutuliza maumivu...ungeileta kabla ya ngoma ya dodo now tupo busy kidogo tuacheni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huwezi kumfananisha mesi ambaye hajui kingereza lakin kihispania ni lugha iliyoenea sehemu kubwa duniani na wazungumzaji ki kutoka mataifa yenye nguvu duniani tofauti na wachezaji wa nchi zetu au wanamziki wa nchi zetu tukumbuke nchi nyingi za ulaya ni first world countries Ata kama mtu hajui kingereza lugha ya nchi yake itambeba Wana vyombo vya habari vyenye nguvu ambavyo mtu kupata kazi inakuitaji ujue lugha zaidi ya tatu au nne za kimataifaVitu vingine ni mtu tu anahamua kujua au kutokujua wachezaji wengi tu na wakubwa hawajui lugha ya Kiingereza na maisha yao yanaenda vizuri tu nachokiona ni Ali kiba ajataka tu kujua pia inaweza kuwa hiyo lugha sio muhimu sana kwake [emoji41]
Labda nikwambie tu kuna sababu nyingi za kupenda kitu hasa mziki na sababu moja kubwa ni air time inayopata kwenye vyombo vya habari kipindi kile kulikuwa hakuna cm janja kama ivi lkin kumbuka Congo wengi wanazungumza kifaransa kitu ambacho ilikuwa rahisi kwao kupata nafasi ya kusikilizwa na wengi na kupendwaShebeleza tuliicheza hapa hata maana hatujui...ngoma za kina awilo,Kofi olomide, defao Muziki una lugha yake peke yake wenyewe unajieleza kwa melodies taaaaamu siyo huo upuuzi wanaouwaza
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kama ni mshauri wake basi haufai hata kidogokikubwa anajua kuimba ni mwanamuziki.
hayo ya kujieleza tumwachie waziri mkuu,kipindi cha maswali ya papo kwa papo bungeni.
kwani wewe unataka kusikia nini kutoka kwa alikiba,tofauti na music????
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua ni nn hakuna kitu kibaya kama kuwa mtumwa wa lugha, Lugha hiyo hiyo unayojifunza na kutumia nguvu iliuijue watu wake ndio hao hao wanaokubagua kuna umuhimu gani sasa hapo wakuwajua hizi lugha zao wakati huo account ya Bank yangu inazaidi ya 100M maisha yanaenda vizuri tu.Mkuu huwezi kumfananisha mesi ambaye hajui kingereza lakin kihispania ni lugha iliyoenea sehemu kubwa duniani na wazungumzaji ki kutoka mataifa yenye nguvu duniani tofauti na wachezaji wa nchi zetu au wanamziki wa nchi zetu tukumbuke nchi nyingi za ulaya ni first world countries Ata kama mtu hajui kingereza lugha ya nchi yake itambeba Wana vyombo vya habari vyenye nguvu ambavyo mtu kupata kazi inakuitaji ujue lugha zaidi ya tatu au nne za kimataifa
Sent using Jamii Forums mobile app
kuongea ni kipaji mzee ndio maana watu huajiri hata wasemaji.Wewe kama ni mshauri wake basi haufai hata kidogo
Vitu vingine ni mtu tu anahamua kujua au kutokujua wachezaji wengi tu na wakubwa hawajui lugha ya Kiingereza na maisha yao yanaenda vizuri tu nachokiona ni Ali kiba ajataka tu kujua pia inaweza kuwa hiyo lugha sio muhimu sana kwake 😎
Huu ni mtazamo watu tu tunasema lakini ukweli wa mambo hatujui ni nini kinacho mfanya asitake kujifunza lugha ya Kiingereza jamaa inawezekana anasababu zake za msingi yeye mwenye.Kiingereza ni lugha yako rasmi ya kibiashara na kielimu..
Kutokuijua ni lazma ikucost tu asa itakuwaje kwa public figures !!!...
Kipindi kile cha MTV south alipopiga show na sauti sol hadi alitia huruma kwenye interviews hadi akasaidiwa. Ungekuwa wewe si ungeanza hata jitihada za kujifunza !!!!...
Ukishajiita internationa act lazma uwe kama global citizen. Miss mdee anajua lugha zaidi ya tatu ila kuna mmoja anajiskia uvivu kujifunza lugha moja kwelii !!!
Huu ni mtazamo watu tu tunasema lakini ukweli wa mambo hatujui ni nini kinacho mfanya asitake kujifunza lugha ya Kiingereza jamaa inawezekana anasababu zake za msingi yeye mwenye.
Lakini kuwa public figures sio lazima kujua Kingereza lakini kwa mfanyabiashara kuna umuhimu kama unataka kufanya biashara mpaka nje ya mipaka ya nchi ndio muhimu kujua lugha.
Ali anajua mwenye future ya muziki wake wapi unaelekea nandio maana kaona lugha sio muhimu kwake.Niseme "LABDA" ana sababu zake muhimu
Lakini elewa pia kuwa public figure tayari ni brand na unakuwa bidhaa kama zilivyo tu soda ama bear. Hivyo Unapovuka border lazma ujiandae jinsi ya kuwa relevant na hiyo audience mpya ikiwemo lugha wanayoitumia
(kitu ambacho diamond alideal nacho mapema sana japo nae elimu ndogo)
Vinginevyo apate manager mwenye english clean awe kama translator. Kitu ambacho sijawahi kumuona akifanya
Ali anajua mwenye future ya muziki wake wapi unaelekea nandio maana kaona lugha sio muhimu kwake.
Point noted mkuu[emoji120]kuongea ni kipaji mzee ndio maana watu huajiri hata wasemaji.
wewe unafurahi mond anapojibu kila analoulizwa kuhusu wazazi wenzie!!!!!mwisho hukwaza watu na kuonekana anadhalilisha wanawake.
but tunampenda/mnampenda sababu ya muziki wake mengine ni ubinadamu,so why not alikiba!!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Aongeze na mche wa sabun ya magadi bill yanguagiza sanitizer popote ulipo nakuja kulipa.jibu konki[emoji122][emoji122][emoji109]