Sio vizuri kumjibu Mtu anayekutukana na kukudharau

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Jifunze kukaa kimya hata unapodharauliwa na kutukanwa na watu wako wa karibu.

Jikite katika kufanya Kazi na kuishi katika utakatifu.

Mungu ana tabia ya kuwashusha watu na kuwapandisha watu.

Kuna watu walileta dharau lakini muda huu wanalia na kusaga meno.

Pia Mungu akikupandisha hakikisha unaheshimu kila Mtu na unaishi katika utakatifu

Kisasi sio chako
 
Huu Ujumbe ni mzuri sana,Naomba upewe heshima ya Uzi bora wa Kufungia Mwaka 2022 na kuukaribisha Mwaka mpya 2023.
 
Hekima kubwa hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…