Sio wajibu wako kumbadilisha mwanamke

Uko sahihi 💯
Tupambane kujiokoa wenyewe kwa sasa.
 
Nipigwe ban kisa nini?, mimi nachangia mada, ila sipo upande wa kuwapiga miti na kuwaacha, lakini incase of kuendekeza wanawake huwa nasema huenda ningekuwa tajiri
Oya mkuu naona macho yameisha chaji ngoja nikayachaji na shemu wako kaniambia nizime data 😂😂😂😂😂😇
 
Htr im ingia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…