JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,850
Maonyo yalikuwepo lakini.Watu waliteswa sn
Ni ngumu kuambulia. Kwanza ni kiingereza sio kile cha kimaongezi na pili ni misamiati mingi ya kisheria. Wacha wanasheria waitwe wanasheria.sijaambulia chochote
π€£Ni ngumu kuambulia. Kwanza ni kiingereza na pili ni misamiati mingi ya kisheria. Wacha wanasheria waitwe wanasheria.
Anayeshitakiwa ni Waziri wa Fedha. Hivyo atakayejibu hayo mashtaka ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa niaba yake. Kumbuka si jina bali Waziri mwenye dhamana ya Wizara hiyo.Waziri wa fedha anaeshtakiwa ni yupi?Mwigulu au Mpango?kama Mpango akipatwa na hatia!je atawajibishwa ?au kujiuzulu??
Kwani hiyo kesi si ilianzia uingereza ambapo Standard Chartered Bank ilipatikana na hatia ya kutoa rushwa kwa Viongozi wa serikali ili ipate tenda? Mnaongea msiyoyajua!Usisahau haya yote ni matunda ya yule Mzee wako Jiwe! Na wakishinda kesi maana yake kodi zetu ndiyo zitatumika kuwalipa fidia! Huku kukiwa hakuna faida yoyote ile kwa taifa kutokana na kuwaweka ndani kwa muda mrefu, na pasipo na mashtaka yoyote yale ya kueleweka.
Kweli kabisaMaonyo yalikuwepo lakini.
"Nchi hii kubwa , tendeni haki maana hata kwenye uadui kuna mipaka, kwenye vita kuna mipaka. Usipige tu kwa vile rungu umepewa wewe...... "
Alisikika mlevi mmoja.
Mabenki hayohayo kwa kosa la kuiibia Serikali.Amemshtaki nani?
Juzi nimeenda pale kumekucha kwenye mbuzi si nikakuta wameweka nyimbo ya jim reeves nikapata wenge hatari...
Ruge alitoka kwa Nole prosecution. Hivyo Ruge is clean.Seth alitoka kwa "plea bargaining" akafuatia Mzee Rugemalila.....
Pandora box limefunguka. Wapigaji moja baada ya mwingine wanaenda kununua haki. Wanasheria wauza haki wameingia tena kazini.πππ Magufuli mungu akupumzishe milele kwa amani. 2025 kwa uwezo wa mola tutampata mrithi wako.naona watu wameanza kudai hela zao sasa...
ni wakati wa ndugu zetu wanasheria kurudi kaanani sasa....namuona aunt yetu soon akitukimbia na kuwa busy hahahaha...
Sioi Sumari amemuo Pamela binti wa Edward Lowasa, na ni majuzi tu Chief Hangaya alikwenda kumtembelea Lowasa nyumbani kwake.Hizi kesi za fidia huanzaga kama utani kwenye maskhara vile.. Mwisho wa siku watu hulipwa mpunga mrefu sana
Magufuli hawezi kupumzika kwa amani usijidanganye nafsi yako.Pandora box limefunguka. Wapigaji moja baada ya mwingine wanaenda kununua haki. Wanasheria wauza haki wameingia tena kazini.πππ Magufuli mungu akupumzishe milele kwa amani. 2025 kwa uwezo wa mola tutampata mrithi wako.
Umekariri vibaya sana Komredi......Pandora box limefunguka. Wapigaji moja baada ya mwingine wanaenda kununua haki. Wanasheria wauza haki wameingia tena kazini.πππ Magufuli mungu akupumzishe milele kwa amani. 2025 kwa uwezo wa mola tutampata mrithi wako.
Muda utaongea vyema tu.....Ngoja tuone
Just suffer in silence, no need to scream.Mafisadi naona wanakuja kwa Kasi kurudisha fedha walizotapishwa na Mwendazake.
Sawa Kikwete tumekuelewa,umesharudisha wafanyakazi hewa wako,Bandari ya Bagamoyo,hata ile gauge ya kusoma mafuta bandarini nafikiri utakuwa umeikata tena.
Mrithi gani tena? Haya yanayoibuka yametokea wapi? Nini chanzo chake?Pandora box limefunguka. Wapigaji moja baada ya mwingine wanaenda kununua haki. Wanasheria wauza haki wameingia tena kazini.πππ Magufuli mungu akupumzishe milele kwa amani. 2025 kwa uwezo wa mola tutampata mrithi wako.
Rugemalira hajafungua kesi ya kuidai serikali Bali anaisaidia serikali kulipwa pesa zake.Rugemalila tayari ashafungua kesi tutarajie kumlipa .
Mkuu unachotakiwa kujua wana jf wengi ni wafata mkumbo na wengi hawasomi habari bali wana comment tuu....... wengi fikira zao ni kuwa inashitakiwa serikali ya Magufuli.....Mbona anashtaki Standard Bank ilipe serikali ya Tanzania? Naona wengi hamjasoma document kabla ya kucomment