Sioi Solomon awaburuza Mahakamani, ICBC Standard Bank, Stanbic Bank Tanzania Ltd, Waziri wa Fedha na Mwanasheria Mkuu

Kwani hiyo kesi si ilianzia uingereza ambapo Standard Chartered Bank ilipatikana na hatia ya kutoa rushwa kwa Viongozi wa serikali ili ipate tenda? Mnaongea msiyoyajua!
Hapa nimeelewa kwanini mlalamikaji anaitaka Standard Chartered ilipe fidia serikali. Na kwanini hii contract ni void
 
👍👍👍👍
 
Mkuu kumbuka hata Ruge amekuja na lengo la kuipambania serikali, mwisho wa siku Ruge anachake pale sawa na SIOI. Kula mtori nyama utazikia badae
Sioni kama kuna ubaya kama nasi tutapata chetu. Watu wanadhani Sioni anaidai Serikali ya Tanzania. Katika hili serikali haina liability
 
Kesi za namna hii zitaligharimu Taifa pesa nyingi sana, kila mtu aliebambikiwa kesi akiamua kudai Fidia ni harara kubwa sana kwa Jamhuri, hakuna sababu ya kuwaweka watu ndani tena kwa miaka mingi kama hakuna evidence za makosa
Kuna wale walivunjiwa bureau de change na pesa zao kuchukuliwa nao waje fasta wafungue ma kesi.
Yule mfu alikua na roho mbaya kama KOBOKO[emoji54][emoji54][emoji54][emoji54]
 
Mimi sijui, Sioi,Shose na Kitilya ilikuwa wazi na kama wasingefanya "plea bargaining" walikuwa wanahatia. Atulize kipago huyu dogo dili alipiga.
Weka huo UWAZI hapa syo kutuletea vumbi lililokujaa kichwani humu
 
Kesi za namna hii zitaligharimu Taifa pesa nyingi sana, kila mtu aliebambikiwa kesi akiamua kudai Fidia ni harara kubwa sana kwa Jamhuri, hakuna sababu ya kuwaweka watu ndani tena kwa miaka mingi kama hakuna evidence za makosa
Mkuu hivi unajua case inazungumzia nini au umeandika tuu? hivi unajua hii ni csae ya 2014 kurudi nyuma? hahahahah mimi leo nasoma comments tuu......
Kwanini huwa amsoni kwanza kabla ya kukoment?
 
Mkuu hivi unajua case inazungumzia nini au umeandika tuu? hivi unajua hii ni csae ya 2014 kurudi nyuma? hahahahah mimi leo nasoma comments tuu......
Kwanini huwa amsoni kwanza kabla ya kukoment?
Heading tu inatupa hints ya nini kinazungumzwa unless heading na contents ziwe zimetofautiana, am i missing something?
 
Je inahusiana na ile ya kuwekwa ndani miaka kadhaa bila uchunguzi kukamilika, kisha DPP anatamka "serikali haina nia ya kuendelea na kesi". Watuhumiwa wanaachiwa.
Kumbuka nia hupitea na kurudi mda wowote
 
Ulitaka JK awekwe ndani?
 
Mbwembwe nyingi: "photostat copies" for real?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…