Yeah ndio maana nimekubali vita ya ufisadi ilikuepo ila nachosema ilikua biased yaani wezi 20 afu unakamata wawili pekee!!
Mfano hii kesi ya EGMA gavana wa BOT au waziri wa uchumi wanaponaje? Mgimwa na Mkullo walitajwa ila mbona sijasikia waziri yeyote akikamatwa?? Hivi kweli Shose na Sioi waiibie serikali bilion 12 bila "wazee" kuwaandalia njia?
Na ndio maana kuna uzi humu wa Lissu kuwa kumkamata Seth haitoshi maana wizi ni mnyororo so kma unataka kumaliza ufisadi ni kukamata mnyororo wote kuanzia katibu wa Rais mpaka teller aliyetoa hela kwenye masandarusi!!