Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,186
- 13,757
Rugemalira hajafungua kesi ya kuidai serikali Bali anaisaidia serikali kulipwa pesa zake.
Shida nayoiona watu hawasomi hiyo case na hawataki kusoma
Hata hii ya sioi nayo watu hawajasoma hoyo case
Ukisoma comments nyingi na uhalisia wa kilichokuwa attached hapa kwa hiyo kesi ya Sioi unabaki kushangaa,kumbe watu wanarukiaga kucomment tu bila hata kusoma kwanza.