Siombei lakini natarajia vimbwanga siku ya mechi ya Simba Jumapili

Siombei lakini natarajia vimbwanga siku ya mechi ya Simba Jumapili

Idrissou02

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2018
Posts
354
Reaction score
656
Naam nawaza utaratibu gani utatumika kuhakikisha kila aliyeingia uwanjani kwa ajili ya mashindano ya quran aweze kutoka kupisha waliolipia viingilio vya mechi baada ya mashindano hayo kuisha. Kumbuka mashindano hayo ya quran kiingilio ni buure kabisa.

Lakini bado nawaza, kweli nchi nzima yenye miaka 60 ya uhuru ina uwanja mmoja tu wenye hadhi kiasi kwamba wakakosa uwanja mwengine wa kuweka hii mechi.

Ngoja tusubirie tuone mambo yataendaje, mimi binafsi ntakua zangu na rimoti nyumbani kwangu nikifuatilia kupitia DStv.
 
Mkuu kabla ya Game hiyo, waislam walishaomba huo uwanja zamani kidogo. Hivyo Simba game yao imekuja baadae.

Kwa ujumla ni Rahisi kusogeza siku au muda wa mechi mbele kuliko hayo mashindano, ambayo maandalizi yake yameanza wiki 3 nyuma huko.
 
Watu watatoka hata kama kuna watakao zamia watakua ni wachache sana.
 
Mkuu kabla ya Game hiyo, waislam walishaomba huo uwanja zamani kidogo. Hivyo Simba game yao imekuja baadae.

Kwa ujumla ni Rahisi kusogeza siku au muda wa mechi mbele kuliko hayo mashindano, ambayo maandalizi yake yameanza wiki 3 nyuma huko.
We jamaa ni kiande Sana aisee ,kwanza niambie kazi maalum ya huo uwanja ni maswala ya kidini au michezo baada ya hapo ndio uje uharishe huo ujinga wako.

Ule sio msikiti Wala kabisa ule ni uwanja wa mpira na Simba ni timu ya mpira sasa nan mwenye umuhimu Kati ya timu na dini kutumia huo uwanja?

Najua unaongozwa na ushabiki mavi mavi ,yaan Simba apishe maswala ya kidini kwenye eneo lake la kujidai.

Dini ,siasa na matamasha ya Muzik yanatumia viwanja vya michezo kwa kuibia tu ila sio sehem yake ,punguza ujuha
 
Mbona rahisi tu masuala ya michezo yabakie kwa Mkapa hayo mengine yapelekwe uwanja wa Uhuru.
 
We jamaa ni kiande Sana aisee ,kwanza niambie kazi maalum ya huo uwanja ni maswala ya kidini au michezo baada ya hapo ndio uje uharishe huo ujinga wako.

Ule sio msikiti Wala kabisa ule ni uwanja wa mpira na Simba ni timu ya mpira sasa nan mwenye umuhimu Kati ya timu na dini kutumia huo uwanja?

Najua unaongozwa na ushabiki mavi mavi ,yaan Simba apishe maswala ya kidini kwenye eneo lake la kujidai.

Dini ,siasa na matamasha ya Muzik yanatumia viwanja vya michezo kwa kuibia tu ila sio sehem yake ,punguza ujuha
tena asinifanye kama hajaona comment yako.....kaongea pumba sana!!!!
 
We jamaa ni kiande Sana aisee ,kwanza niambie kazi maalum ya huo uwanja ni maswala ya kidini au michezo baada ya hapo ndio uje uharishe huo ujinga wako.

Ule sio msikiti Wala kabisa ule ni uwanja wa mpira na Simba ni timu ya mpira sasa nan mwenye umuhimu Kati ya timu na dini kutumia huo uwanja?

Najua unaongozwa na ushabiki mavi mavi ,yaan Simba apishe maswala ya kidini kwenye eneo lake la kujidai.

Dini ,siasa na matamasha ya Muzik yanatumia viwanja vya michezo kwa kuibia tu ila sio sehem yake ,punguza ujuha
Matamasha ya kina Rose muhando yanafanyika miaka yote na hakuna kelele.

Waislam wala hawakai kwenye Pitch, mara nyingi wao hukaa jukwaani, au unadhani wale ni waimba sebene kwamba watachimbua nyasi za uwanja?

Niko far mile kwenye akili kukuzidi mzee. Kichwa chako kibovu, na una uelewa finyu sana, wewe ukiambiwa MASHINDANO YA KUSOMA QURAN unaona kwamba haifai wafanyie hapo au sio?? Ila Diamond akitumia kutumbuiza ni sawa?? Bonny Mwaitege akitumbuiza ni sawa??

Kilichokutoa kwenye reli ni neno MASHINDANO YA QURAN, lkn wangetumia TAMASHA LA USOMAJI WA QURAN ungeona sawa.

Simba wakitaka uhuru huo WAKACHEZEE BUNJU. Ndio maana ukaitwa uwanja wa TAIFA. KWANI HIYO NI MARA YA KWANZA KUTUMIKA KUFANYA HAYO MASHINDANO??

HAO SIMBA WAKATUMIE UWANJA WA BUNJU.
 
Back
Top Bottom