We jamaa ni zero brain kabisa ,bahat mbaya hujui Kama ni zero brain .
Wakina boni mwaitege ,Rose muhando wanafanya matamasha kukiwa na mechi hapo taifa au wanafanya km ratiba ya mechi haipo .
Swali dogo tu purpose ya uwanja ni maswala ya kidini au mpira ,ujinga wako wote umelala hapa hujui hata kazi ya huo uwanja.
Wakati huo uwanja unajengwa malengo ya huo uwanja yalikua ni yepi?
Ni uwanja wa taifa ndio ,lakin ni uwanja wa kusalia au uwanjawa taifa wa michezo hasa mpira.
Tokea Lin diamond alisababisha mchezo usichezwe kisa yeye Ana show?
Nikisema wewe ni kilaza ntakua nakosea ? Kwa akil yako mgando unataka kusema Simba ndio wanapaswa kupisha mashindano ya kidini ambayo hayana hata kiingilio na pale sio mahala pake ,Kuna misikiti ,kusipo kuwa na mechi hapo sawa wanatumia lakin kukiwa na mechi anayepaswa kupisha ni hayo mashindano ya kidini.
Unataka kuniambia tff itamfukuza Simba hapo uwanjan ambaye anaingiza mapato na kuruhusu mashindano ya kidini yenye kiingilio bure?
Nakuuliza Tena swali ule ni uwanja wa taifa ulijengwa kwa dhumuni lipi? Ujinga wako wote umelala hapa kwenye hili swali.