Idrissou02
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 354
- 656
We jamaa ni kiande Sana aisee ,kwanza niambie kazi maalum ya huo uwanja ni maswala ya kidini au michezo baada ya hapo ndio uje uharishe huo ujinga wako.Mkuu kabla ya Game hiyo, waislam walishaomba huo uwanja zamani kidogo. Hivyo Simba game yao imekuja baadae.
Kwa ujumla ni Rahisi kusogeza siku au muda wa mechi mbele kuliko hayo mashindano, ambayo maandalizi yake yameanza wiki 3 nyuma huko.
Wakawapige wavaa kanzu na majuba? patachimbika siku hioUnawafahamu SUMA JKT?
Hakuna wakubaki uwanjani ikiwa shughuli imeisha.Wakawapige wavaa kanzu na majuba? patachimbika siku hio
tena asinifanye kama hajaona comment yako.....kaongea pumba sana!!!!We jamaa ni kiande Sana aisee ,kwanza niambie kazi maalum ya huo uwanja ni maswala ya kidini au michezo baada ya hapo ndio uje uharishe huo ujinga wako.
Ule sio msikiti Wala kabisa ule ni uwanja wa mpira na Simba ni timu ya mpira sasa nan mwenye umuhimu Kati ya timu na dini kutumia huo uwanja?
Najua unaongozwa na ushabiki mavi mavi ,yaan Simba apishe maswala ya kidini kwenye eneo lake la kujidai.
Dini ,siasa na matamasha ya Muzik yanatumia viwanja vya michezo kwa kuibia tu ila sio sehem yake ,punguza ujuha
Unaenda kuchili zako chooni tuuHakuna wakubaki uwanjani ikiwa shughulisha imeisha.
Duh!!Unaenda kuchili zako chooni tuu
Ila watu wa Jf bwana, yani vikosi vya jeshi vyenye silaha vishindwe kuwatoa hao wavaa kanzu na majuba wanaopanga KUZAMIA mechi?Wakawapige wavaa kanzu na majuba? patachimbika siku hio
Matamasha ya kina Rose muhando yanafanyika miaka yote na hakuna kelele.We jamaa ni kiande Sana aisee ,kwanza niambie kazi maalum ya huo uwanja ni maswala ya kidini au michezo baada ya hapo ndio uje uharishe huo ujinga wako.
Ule sio msikiti Wala kabisa ule ni uwanja wa mpira na Simba ni timu ya mpira sasa nan mwenye umuhimu Kati ya timu na dini kutumia huo uwanja?
Najua unaongozwa na ushabiki mavi mavi ,yaan Simba apishe maswala ya kidini kwenye eneo lake la kujidai.
Dini ,siasa na matamasha ya Muzik yanatumia viwanja vya michezo kwa kuibia tu ila sio sehem yake ,punguza ujuha