financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Duh hizo comments zinatunyima amani na confidence sisi tusio na big butts, mleta uzi alitaka kututetea ila wakuu mmepindua sawa bana🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh, acha basi! Ile picha yako size ile ni inatosha kabisa[emoji39].Duh hizo comments zinatunyima amani na confidence sisi tusio na big butts, mleta uzi alitaka kututetea ila wakuu mmepindua sawa bana[emoji848]
Lakini bwana, wanawake wana moyo sana. Kuna mikao watu wanafanyana lakini if you look at it, aaaaagggr!Haya mdao tuma application usikie vionjo huenda initially ulikwenda wrong door
View attachment 1832645
Tuma maombi hapa
Duh hizo comments zinatunyima amani na confidence sisi tusio na big butts, mleta uzi alitaka kututetea ila wakuu mmepindua sawa bana[emoji848]
Ile picha niliisevu fasta na ndiyo Screensaver kwenye kompyuta yangu. Soulimeti huyu siyo wa kisipotisipoti japo ukimuona hapa anacheka na kila mtu unaweza kumdhania wa kawaida...Mmmh, acha basi! Ile picha yako size ile ni inatosha kabisa[emoji39].
Hapo kwenye screen saver mkuu😂 ila ile picha nadhani ni position tu nilivokua nimesimama ilionesha nna ka bum kidogo ila uhalisia nna kaflat screen vizuri tu😛Ile picha niliisevu fasta na ndiyo Screensaver kwenye kompyuta yangu. Soulimeti huyu siyo wa kisipotisipoti japo ukimuona hapa anacheka ba kila mtu unaweza kumdhania wa kawaida...
Aah ile ni picha tu Eli uhalisia mmhMmmh, acha basi! Ile picha yako size ile ni inatosha kabisa[emoji39].
We sina shaka kabisa...Duh hizo comments zinatunyima amani na confidence sisi tusio na big butts, mleta uzi alitaka kututetea ila wakuu mmepindua sawa bana[emoji848]
Hapana
StyleNi kweli kama unakibamia haifiki mkuu
Unapenda Sana Six pack eennhh???.Njoo PM nikupe conekisheni.Kwani mkuu mwanaume mwenye six pack anazitumia kitandani? Ni mvuto tu hata wa huko chumbani.
Huwezi kufananisha mwenye kalio na asiye nalo katika kuhamasisha/kutamanisha
Huwezi kufananisha mwenye six pack na mwenye kitambi katika kutamanisha
Japo tunashukuru kwa faraja yako kwa wasio/tusio nayo ila tako linaamsha amsha zake katika hizo mambo
Mmepata mfariji.😂Kwani mkuu mwanaume mwenye six pack anazitumia kitandani? Ni mvuto tu hata wa huko chumbani.
Huwezi kufananisha mwenye kalio na asiye nalo katika kuhamasisha/kutamanisha
Huwezi kufananisha mwenye six pack na mwenye kitambi katika kutamanisha
Japo tunashukuru kwa faraja yako kwa wasio/tusio nayo ila tako linaamsha amsha zake katika hizo mambo
..nililiona usilete mambo yako, kalio ni kachumbari aisee, linahamasisha sana!Aah ile ni picha tu Eli uhalisia mmh
Kumbe ni soulimeti wako, mzee umepatia sana...shikilia hapo hapo mkuu!!Ile picha niliisevu fasta na ndiyo Screensaver kwenye kompyuta yangu. Soulimeti huyu siyo wa kisipotisipoti japo ukimuona hapa anacheka na kila mtu unaweza kumdhania wa kawaida...
Acha kutusononesha basi mkuu!Ni kweli kama unakibamia haifiki mkuu
Yaan ukiwa mtalimbo kweli unazama na kubaki kidogo...kibamia apambani na mende tuAcha kutusononesha basi mkuu!