Sioni faida ya kalio kubwa kitandani

Sioni faida ya kalio kubwa kitandani

Duh hizo comments zinatunyima amani na confidence sisi tusio na big butts, mleta uzi alitaka kututetea ila wakuu mmepindua sawa bana[emoji848]
Mmmh, acha basi! Ile picha yako size ile ni inatosha kabisa[emoji39].
Ile picha niliisevu fasta na ndiyo Screensaver kwenye kompyuta yangu. Soulimeti huyu siyo wa kisipotisipoti japo ukimuona hapa anacheka na kila mtu unaweza kumdhania wa kawaida...
 
Ile picha niliisevu fasta na ndiyo Screensaver kwenye kompyuta yangu. Soulimeti huyu siyo wa kisipotisipoti japo ukimuona hapa anacheka ba kila mtu unaweza kumdhania wa kawaida...
Hapo kwenye screen saver mkuu😂 ila ile picha nadhani ni position tu nilivokua nimesimama ilionesha nna ka bum kidogo ila uhalisia nna kaflat screen vizuri tu😛
 
Kwani mkuu mwanaume mwenye six pack anazitumia kitandani? Ni mvuto tu hata wa huko chumbani.

Huwezi kufananisha mwenye kalio na asiye nalo katika kuhamasisha/kutamanisha
Huwezi kufananisha mwenye six pack na mwenye kitambi katika kutamanisha

Japo tunashukuru kwa faraja yako kwa wasio/tusio nayo ila tako linaamsha amsha zake katika hizo mambo
Unapenda Sana Six pack eennhh???.Njoo PM nikupe conekisheni.
 
Kwani mkuu mwanaume mwenye six pack anazitumia kitandani? Ni mvuto tu hata wa huko chumbani.

Huwezi kufananisha mwenye kalio na asiye nalo katika kuhamasisha/kutamanisha
Huwezi kufananisha mwenye six pack na mwenye kitambi katika kutamanisha

Japo tunashukuru kwa faraja yako kwa wasio/tusio nayo ila tako linaamsha amsha zake katika hizo mambo
Mmepata mfariji.😂
 
Tatizo linaanzia kwa wanawake kuwasema wanaume weny vibamia vibaya utafikiri hawazalishi..
Baada ya mtifuano huo wanaume wakaja na mwanamke churaaaa
 
Ile picha niliisevu fasta na ndiyo Screensaver kwenye kompyuta yangu. Soulimeti huyu siyo wa kisipotisipoti japo ukimuona hapa anacheka na kila mtu unaweza kumdhania wa kawaida...
Kumbe ni soulimeti wako, mzee umepatia sana...shikilia hapo hapo mkuu!!
 
Back
Top Bottom