technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
KDBJamaa anajua anafunga anapiga assist, anaanzisha mashambulizi, anapiga faulo za hatari kwa sasa sioni kiungo kama yeye Duniani ana vitu vya ziada nakumbuka Luis Figo jamaa anapita mulemule kaifanya Manchester kuwa timu ya tofauti kabisa.
Manchester bhana...Jamaa anajua anafunga anapiga assist, anaanzisha mashambulizi, anapiga faulo za hatari kwa sasa sioni kiungo kama yeye Duniani ana vitu vya ziada nakumbuka Luis Figo jamaa anapita mulemule kaifanya Manchester kuwa timu ya tofauti kabisa.
Duh! mashabiki wa Man U wengi mpo CCM mnajua kusifia balaa bruno hafiki ata kwa Joao moutinhoJamaa anajua anafunga anapiga assist, anaanzisha mashambulizi, anapiga faulo za hatari kwa sasa sioni kiungo kama yeye Duniani ana vitu vya ziada nakumbuka Luis Figo jamaa anapita mulemule kaifanya Manchester kuwa timu ya tofauti kabisa.
unalaana we mwamba watu wanajadili viungo we unataja muendesha bajaji uyoVipi kiungo bora wa EPL kwa mujibu wa tafiti za BBC,bwana Henderson wa Liver??
Mbona hizi sifa KDB anazo toka kitamboJamaa anajua anafunga anapiga assist, anaanzisha mashambulizi, anapiga faulo za hatari kwa sasa sioni kiungo kama yeye Duniani ana vitu vya ziada. Nakumbuka Luis Figo jamaa anapita mulemule kaifanya Manchester kuwa timu ya tofauti kabisa.
Muombe radhi Mkuu,huyo si KijaniDuh! mashabiki wa Man U wengi mpo CCM mnajua kusifia balaa bruno hafiki ata kwa Joao moutinho
Tuwe wa kweli tu pale Arsenal kuna mchezaji yeyote zaidi ya Aubameyang anayeweza kuingia first eleven ya Man united ?Mashabiki ya nyumbu bana[emoji3]
Hakuna mkuu, ila tukikutana tunajipigia [emoji3]Tuwe wa kweli tu pale Arsenal kuna mchezaji yeyote zaidi ya Aubameyang anayeweza kuingia first eleven ya Man united ?