aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,657
- 3,679
1.mwaka wa 3 wa uongozi mabadiliko ya katiba hayajakamilika mpaka sasa wawekezaji kwa hisa hawajawekeza
2. Hali na morali ya wachezaji ipo chini
3. Mauzo ya jezi yameporomoka
4.wachezaji wengi wanaidai club
5. Mawazo yake sasa yapo kwenye kugombea ubunge aje kuwa naibu waziri wa michezo
6. Ujenzi wa Uwanja hamna hata jiwe la msingi
2. Hali na morali ya wachezaji ipo chini
3. Mauzo ya jezi yameporomoka
4.wachezaji wengi wanaidai club
5. Mawazo yake sasa yapo kwenye kugombea ubunge aje kuwa naibu waziri wa michezo
6. Ujenzi wa Uwanja hamna hata jiwe la msingi