Sioni mantinki kulalamika katazo Plate Namba za 3D

Sioni mantinki kulalamika katazo Plate Namba za 3D

Kwanza nini sababu ya kuweka 3D letters kwenye number plates?

Tukiondoa Urembo ni nini zaidi?
 
Wewe na hao polisi wote hamna logical reason kwenye hili, mmekurupuka.
Naomba nijibu hoja zako kama ifuatavyo;

1. Suala kama ni issue viwango vinavyokubalika na TBS, kwa nn polisi ndo wazungunzie technicalities za taasisi nyingine, nilidhani mwenye kusema 3D Number plate hazina viwango ni TBS na si Polisi. Lkn hata kama kuna viwango vinatakiwa basi TBS wangeshauri aidha kupunguza au kuongeza textures, reflects na any material or makeup standards (ISO Compliance)kwenye utengenezaji wa hizo number plate. Dunia inabadilika, polisi wakumbuke innovations ndio unakimbiza dunia kwa sasa.

2. Kuvumba kwa number plate za kawaida ni tofauti na hizi za 3D hata hvyo kimwonekano bado 3D zinaonekana zaidi kwa maana ya visualisation!

3. Maeneo unayozunguzia ni yale ambayo ni automated na machine au device ambazo naamini zimetengenezwa sio ku suite number plate katika namna pana zaidi. Mimi nimefunga hiyo 3D lkn kwenye ile camera ya kukamata madeni nilishawahi kamatwa kwa maana kwamba ioe camera ilinasa kwamba kuna deni sija clear, Daraja la Kigamboni pia napita daily na nalipa kwa mwezi so pale nikifika Camera ina captur3 namba na kuni-realise.

4. Ni sawa wanaotengeneza ni watu wa kawaida lkn wanatumia mitambo na machine nyingine ambazo hata kama ni polisi, TBS au taasisi yyt mfano Masasi Sign writters wangetumia.

Conl:
Mimi nafikiri polisi wafanye kazi kisasa wawe na logical kwenye makatazo ambayo wanayatoa, kwa jambo kama hili nadhani wangeonesha hata ku-promote innovation kama hzo,lkn pia kama wanadhani ni so lavishly basi wa-introduce hata kodi ya sh 5K kwa mtu anayetaka aweke 3D number plate angalau tungeona wamefocus kuongeza mapato kwa serikali!
Kwa upande mmoja una points, Labda nikijibu hivi.

Hizo 3D ni vi number vinabandikwa na gundi kwenye bati la njano. Hapo kuna mawili, gundi yaweza kuachia vikaanguka bahati mbaya. Au mtu makusudi anaweza kubandua akabadili (uhalifu).

Ndio maana hata imezungumzwa na Police sababu ya elements za uhalifu ndani yake. Ila ki muonekano ni kweli kabisa vinaonekana vizuri.
 
Back
Top Bottom