Kanusha kwanza la Hans Pope kama sio kweliAcha kuokoteza wachawi,kuza soka la timu yako. Tunazungumzia kiwango cha wachezaji wako wanarukaruka tu. Mbona Simba inafanyiwa mazengwe ya kunyimwa magoli lakini inatandaza kandanda murua
Kama walivyotandaza na Mbao fc, Simba ni noma na watamaliza ligi unbeatenAcha kuokoteza wachawi,kuza soka la timu yako. Tunazungumzia kiwango cha wachezaji wako wanarukaruka tu. Mbona Simba inafanyiwa mazengwe ya kunyimwa magoli lakini inatandaza kandanda murua
Mikia bwana, mkilala mnawaota Yanga tu?Mkuu huku 'kwetu' hawa Yanga tunawahesabia mechi kadhaa tu, wanakata pumzi.
Na hapo ndipo litakapokua anguko lao kuu kwa wachezaji kutolipwa mishahara, mashabiki kushinikiza uchaguzi, viongozi kung'ang'ania madaraka n.k
Ni kweli hawapati, ndio maana Niyonzima anakaa benchi. Kwa upande wa pili Ajibu anapiga mabao ya kideo.Umeulizwa mchezaji wa Yanga anayeweza kupata namba Simba Sc. Wabongo bana tantalila sana
Sasa watapataje namba wakati wao wamesajiliwa na yangaNipo hapa kwenye kibanda umiza na jamaa wawili watatu tunatazama mpira wa Yanga na Lipuli. Kwa kweli Yanga ni tia maji tia maji. Mpaka sasa dakika ya 65 wana goli 1 tu.
Mpira umepoa sana,mtangazaji anajitahidi kupamba lakini wapi mpira mwingi hauonekana. Nimejikuta natafakari hivi kati ya hawa vijana wa Yanga wanaorukaruka humu kuna hata mmoja anayeweza kupata nafasi Club kubwa Simba SC?
Binafsi sioni iwe ni hawa wa ndani,benchi au hata jukwaani. Simba imejaa vipaji na wapambanaji. Hawa Yanga sijui wanachezaje hakuna mishe kabisa. Wapo vijana wawili watatu kama Yondani na Fei Toto wanajitahidi lakini bado sioni kama mtu wa kumweka benchi Simba.
Mtoa mada ni bolizozo anaishi maisha ya kusadikikaSasa watapataje namba wakati wao wamesajiliwa na yanga
Anzisha mada nikakanushe,haya sio malengo ya uzi huuKanusha kwanza la Hans Pope kama sio kweli
Unajitoa akiri wakati unaelewa kila kituSasa watapataje namba wakati wao wamesajiliwa na yanga
Hebu wataje hao wachezaji mkuu. Maana mimi sioni hata mchezaji mmoja.
Mkuu umetoa mada alafu unalazisha watu wajibu kilichopo kichwani kwako?Anzisha mada nikakanushe,haya sio malengo ya uzi huu
Mashabiki wa simba kelele zao ingekuwa ndio mpira uwanjani karibu kila mechi wangekuwa wanashinda. 1. Timu ya bilioni kadhaa mlilala ulimi nje na hiyo timu unasema wachovu. 2. simba inafungika kirahisi,mkiendelee kupiga kelele wataitwa mbao waje fasta. Yanga hesabu zao zinafanya kazi kama wanavyotaka. Ni hivi tafuta droo tu mechi ya simba na azam,halafu wadogo zenu sijui lipuri ni kuchukua pointi 3 tu. Ndio maana mechi ya simba na Yanga wasiojua wakapiga kelele simba ilipiga mpira mwingi,lakini kwa taarifa Yanga ndio waliofanikiwa. Kssb simba walitaka kushinda =wakashindwa vibaya malengo yao. Yanga walitaka droo tu ili kuepusha mashabiki wa simba kuvunja viti wakifungwa,na walifanikiwa malengo yao,droo ikapatikanaNipo hapa kwenye kibanda umiza na jamaa wawili watatu tunatazama mpira wa Yanga na Lipuli. Kwa kweli Yanga ni tia maji tia maji. Mpaka sasa dakika ya 65 wana goli 1 tu.
Mpira umepoa sana,mtangazaji anajitahidi kupamba lakini wapi mpira mwingi hauonekana. Nimejikuta natafakari hivi kati ya hawa vijana wa Yanga wanaorukaruka humu kuna hata mmoja anayeweza kupata nafasi Club kubwa Simba SC?
Binafsi sioni iwe ni hawa wa ndani,benchi au hata jukwaani. Simba imejaa vipaji na wapambanaji. Hawa Yanga sijui wanachezaje hakuna mishe kabisa. Wapo vijana wawili watatu kama Yondani na Fei Toto wanajitahidi lakini bado sioni kama mtu wa kumweka benchi Simba.
Huyu anaweza kuwepo kwenye benchi na sio langoni,huoni hata kwenye timu ya Taifa?Kakolanya
Sasa timu ya taifa shabalala hate benchi Hana nafasi, gadiel Michael anaanzaHuyu anaweza kuwepo kwenye benchi na sio langoni,huoni hata kwenye timu ya Taifa?
Usemayo ni kweli kabisa na ndiyo maana yanga hadi sasa haijafungwa hata mechi moja.Nipo hapa kwenye kibanda umiza na jamaa wawili watatu tunatazama mpira wa Yanga na Lipuli. Kwa kweli Yanga ni tia maji tia maji. Mpaka sasa dakika ya 65 wana goli 1 tu.
Mpira umepoa sana,mtangazaji anajitahidi kupamba lakini wapi mpira mwingi hauonekana. Nimejikuta natafakari hivi kati ya hawa vijana wa Yanga wanaorukaruka humu kuna hata mmoja anayeweza kupata nafasi Club kubwa Simba SC?
Binafsi sioni iwe ni hawa wa ndani,benchi au hata jukwaani. Simba imejaa vipaji na wapambanaji. Hawa Yanga sijui wanachezaje hakuna mishe kabisa. Wapo vijana wawili watatu kama Yondani na Fei Toto wanajitahidi lakini bado sioni kama mtu wa kumweka benchi Simba.
Mwanzo wa msimu ni hakika Gadiel angeweza kuanza mbele ya Mohammed Hussein,ila kwa kiwango chake cha sasa Gadiel atakaa sana benchi. Na usishangae anaitwa tena Taifa Stars na kuipoka nafasi ya Gadiel.Sasa timu ya taifa shabalala hate benchi Hana nafasi, gadiel Michael anaanza
Unatumia Nini kufikiri?
Tshabalala ni habari nyingine.Beki zenye uwezo wa kupandisha mpira mbele kwa uhakika ni 3 tu hapa Bongo. Kapombe, Zimbwe na Kwasi. Niliwahi kuwataka Simba wampime huyu dogo kama anatumia madawa ya kuongeza nguvu. Siku hiyo akiwa nyuma alipiga mpira mbele akaufukuzia chini. Ule mpira ulivyotua akawa wa kuu-control.Mwanzo wa msimu ni hakika Gadiel angeweza kuanza mbele ya Mohammed Hussein,ila kwa kiwango chake cha sasa Gadiel atakaa sana benchi. Na usishangae anaitwa tena Taifa Stars na kuipoka nafasi ya Gadiel.
Sio kutaka ujibu ya kichwani mwangu,jibu kuhusiana na mada. Kuwaendekeza watu kama wewe mtaanza kuuliza mbona Chama hana mke mzuri kama wa AjibuMkuu umetoa mada alafu unalazisha watu wajibu kilichopo kichwani kwako?
Kweli Rage hakukosea kuwapa lile jina
Hahaaa et no one is covering him
Why don't you say they failed to covering him
Nilicho kigundua watu wa yanga hawaamini ni kivipi simba ishinde tano bila wakati wao goli moja wanalipata kwa mbinde mpaka msaada wa refa
Umeenda mbali sana nadhani umefikilia kua simba kanunua mechi hahahaaa mbona hata wewe tulishawahi kukupiga tano kwani tulinunua?
Nipo hapa kwenye kibanda umiza na jamaa wawili watatu tunatazama mpira wa Yanga na Lipuli. Kwa kweli Yanga ni tia maji tia maji. Mpaka sasa dakika ya 65 wana goli 1 tu.
Mpira umepoa sana,mtangazaji anajitahidi kupamba lakini wapi mpira mwingi hauonekana. Nimejikuta natafakari hivi kati ya hawa vijana wa Yanga wanaorukaruka humu kuna hata mmoja anayeweza kupata nafasi Club kubwa Simba SC?
Binafsi sioni iwe ni hawa wa ndani,benchi au hata jukwaani. Simba imejaa vipaji na wapambanaji. Hawa Yanga sijui wanachezaje hakuna mishe kabisa. Wapo vijana wawili watatu kama Yondani na Fei Toto wanajitahidi lakini bado sioni kama mtu wa kumweka benchi Simba.