Sioni mchezaji wa Yanga SC anayeweza kupata namba Simba SC

Sioni mchezaji wa Yanga SC anayeweza kupata namba Simba SC

Acha kuokoteza wachawi,kuza soka la timu yako. Tunazungumzia kiwango cha wachezaji wako wanarukaruka tu. Mbona Simba inafanyiwa mazengwe ya kunyimwa magoli lakini inatandaza kandanda murua
Kanusha kwanza la Hans Pope kama sio kweli
 
Kweli kabisa ila mwisho wa siku tunaangalia msimamo wa ligi unaonyeshaje
 
Mkuu huku 'kwetu' hawa Yanga tunawahesabia mechi kadhaa tu, wanakata pumzi.

Na hapo ndipo litakapokua anguko lao kuu kwa wachezaji kutolipwa mishahara, mashabiki kushinikiza uchaguzi, viongozi kung'ang'ania madaraka n.k
Mikia bwana, mkilala mnawaota Yanga tu?
 
Nipo hapa kwenye kibanda umiza na jamaa wawili watatu tunatazama mpira wa Yanga na Lipuli. Kwa kweli Yanga ni tia maji tia maji. Mpaka sasa dakika ya 65 wana goli 1 tu.

Mpira umepoa sana,mtangazaji anajitahidi kupamba lakini wapi mpira mwingi hauonekana. Nimejikuta natafakari hivi kati ya hawa vijana wa Yanga wanaorukaruka humu kuna hata mmoja anayeweza kupata nafasi Club kubwa Simba SC?

Binafsi sioni iwe ni hawa wa ndani,benchi au hata jukwaani. Simba imejaa vipaji na wapambanaji. Hawa Yanga sijui wanachezaje hakuna mishe kabisa. Wapo vijana wawili watatu kama Yondani na Fei Toto wanajitahidi lakini bado sioni kama mtu wa kumweka benchi Simba.
Sasa watapataje namba wakati wao wamesajiliwa na yanga
 
Nipo hapa kwenye kibanda umiza na jamaa wawili watatu tunatazama mpira wa Yanga na Lipuli. Kwa kweli Yanga ni tia maji tia maji. Mpaka sasa dakika ya 65 wana goli 1 tu.

Mpira umepoa sana,mtangazaji anajitahidi kupamba lakini wapi mpira mwingi hauonekana. Nimejikuta natafakari hivi kati ya hawa vijana wa Yanga wanaorukaruka humu kuna hata mmoja anayeweza kupata nafasi Club kubwa Simba SC?

Binafsi sioni iwe ni hawa wa ndani,benchi au hata jukwaani. Simba imejaa vipaji na wapambanaji. Hawa Yanga sijui wanachezaje hakuna mishe kabisa. Wapo vijana wawili watatu kama Yondani na Fei Toto wanajitahidi lakini bado sioni kama mtu wa kumweka benchi Simba.
Mashabiki wa simba kelele zao ingekuwa ndio mpira uwanjani karibu kila mechi wangekuwa wanashinda. 1. Timu ya bilioni kadhaa mlilala ulimi nje na hiyo timu unasema wachovu. 2. simba inafungika kirahisi,mkiendelee kupiga kelele wataitwa mbao waje fasta. Yanga hesabu zao zinafanya kazi kama wanavyotaka. Ni hivi tafuta droo tu mechi ya simba na azam,halafu wadogo zenu sijui lipuri ni kuchukua pointi 3 tu. Ndio maana mechi ya simba na Yanga wasiojua wakapiga kelele simba ilipiga mpira mwingi,lakini kwa taarifa Yanga ndio waliofanikiwa. Kssb simba walitaka kushinda =wakashindwa vibaya malengo yao. Yanga walitaka droo tu ili kuepusha mashabiki wa simba kuvunja viti wakifungwa,na walifanikiwa malengo yao,droo ikapatikana
 
Usemayo ni kweli kabi
Nipo hapa kwenye kibanda umiza na jamaa wawili watatu tunatazama mpira wa Yanga na Lipuli. Kwa kweli Yanga ni tia maji tia maji. Mpaka sasa dakika ya 65 wana goli 1 tu.

Mpira umepoa sana,mtangazaji anajitahidi kupamba lakini wapi mpira mwingi hauonekana. Nimejikuta natafakari hivi kati ya hawa vijana wa Yanga wanaorukaruka humu kuna hata mmoja anayeweza kupata nafasi Club kubwa Simba SC?

Binafsi sioni iwe ni hawa wa ndani,benchi au hata jukwaani. Simba imejaa vipaji na wapambanaji. Hawa Yanga sijui wanachezaje hakuna mishe kabisa. Wapo vijana wawili watatu kama Yondani na Fei Toto wanajitahidi lakini bado sioni kama mtu wa kumweka benchi Simba.
Usemayo ni kweli kabisa na ndiyo maana yanga hadi sasa haijafungwa hata mechi moja.
 
Sasa timu ya taifa shabalala hate benchi Hana nafasi, gadiel Michael anaanza
Unatumia Nini kufikiri?
Mwanzo wa msimu ni hakika Gadiel angeweza kuanza mbele ya Mohammed Hussein,ila kwa kiwango chake cha sasa Gadiel atakaa sana benchi. Na usishangae anaitwa tena Taifa Stars na kuipoka nafasi ya Gadiel.
 
Mwanzo wa msimu ni hakika Gadiel angeweza kuanza mbele ya Mohammed Hussein,ila kwa kiwango chake cha sasa Gadiel atakaa sana benchi. Na usishangae anaitwa tena Taifa Stars na kuipoka nafasi ya Gadiel.
Tshabalala ni habari nyingine.Beki zenye uwezo wa kupandisha mpira mbele kwa uhakika ni 3 tu hapa Bongo. Kapombe, Zimbwe na Kwasi. Niliwahi kuwataka Simba wampime huyu dogo kama anatumia madawa ya kuongeza nguvu. Siku hiyo akiwa nyuma alipiga mpira mbele akaufukuzia chini. Ule mpira ulivyotua akawa wa kuu-control.
 
Mkuu umetoa mada alafu unalazisha watu wajibu kilichopo kichwani kwako?
Kweli Rage hakukosea kuwapa lile jina
Sio kutaka ujibu ya kichwani mwangu,jibu kuhusiana na mada. Kuwaendekeza watu kama wewe mtaanza kuuliza mbona Chama hana mke mzuri kama wa Ajibu
 
Hahaaa et no one is covering him

Why don't you say they failed to covering him

Nilicho kigundua watu wa yanga hawaamini ni kivipi simba ishinde tano bila wakati wao goli moja wanalipata kwa mbinde mpaka msaada wa refa

Umeenda mbali sana nadhani umefikilia kua simba kanunua mechi hahahaaa mbona hata wewe tulishawahi kukupiga tano kwani tulinunua?

Ndiyoooooo.....tehtehtehtehtehte
 
Nipo hapa kwenye kibanda umiza na jamaa wawili watatu tunatazama mpira wa Yanga na Lipuli. Kwa kweli Yanga ni tia maji tia maji. Mpaka sasa dakika ya 65 wana goli 1 tu.

Mpira umepoa sana,mtangazaji anajitahidi kupamba lakini wapi mpira mwingi hauonekana. Nimejikuta natafakari hivi kati ya hawa vijana wa Yanga wanaorukaruka humu kuna hata mmoja anayeweza kupata nafasi Club kubwa Simba SC?

Binafsi sioni iwe ni hawa wa ndani,benchi au hata jukwaani. Simba imejaa vipaji na wapambanaji. Hawa Yanga sijui wanachezaje hakuna mishe kabisa. Wapo vijana wawili watatu kama Yondani na Fei Toto wanajitahidi lakini bado sioni kama mtu wa kumweka benchi Simba.


Yanga ni jina tu....si timu kivile.
 
Back
Top Bottom