Sioni sababu viwanja vyetu kuendelea kumilikiwa na CCM

Historia yako umeisomea wikipedia
 
Uwanja wa Halmashauri ya TUNDURU unamilikiwa na CCM
 
Historia yako umeisomea wikipedia
Sasa si bora hata ya mimi, kuliko wewe uliye isomea Lumumba buku 7! Full upotoshaji!! Eti wanachama wa ccm walichanga hela ya kujenga hivyo viwanja!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…