NEC ni wafanyakazi wa ccm ni sehemu ya ukoo familia ya ccm, NEC ni ccm hakuna chombo hakipendwi Tanzania kama NEC , hakuna Mtanzania huru mwenye Akili timamu anawaamini NEC hata siku mojaHilo halina tofauti na la Jana la ccm kuanza kampeni kabla ya wakati kwa kuwanunua wasanii ili wasifie ccm,hapo pia NEC wachukue hatua ccm imeanza kampeni kabla ya muda
ccm imekuwa serikali ya kupenda mahakama na polisi imevutumia hivyo vyombo kuwanyanyasa wapinzaniHabari ndio hio tunamkaribisha kisutu na kijiweni
ccm ni sumu ya maendeleo Tanzania siku ccm ikiondolewa maendeleo yatakuja kwa kasi ya ajabu sana
ccm imekuwa serikali ya kupenda mahakama na polisi imevutumia hivyo vyombo kuwanyanyasa wapinzani
Kongole mkuu-utamdhamini mtu ambae hata humjui au hujui anasimamia nini kwani kwa miaka 5 iliyopita alikuwa amepigwa kufuli?hata hao wadhamini ili wakudhamini ni lazima wasikie neno kutoka kwako hawawezi wakakudhamini tu from nowhere
serikali ya ccm ndiyo serikali inayopenda kesi kesi kuliko serikali zote Duniani
TunduNani ametukana?
Katukana tusi gani?Tundu
Uko sahihi kabisa. NEC pia inapaswa kuweka wazi hayo maadili ya mchakato wa uchaguzi mkuu ambao wagombea wamepewa. Wananchi wanapaswa kujua kipi kinakatazwa kufanywa au kusemwa na wagombea hawa. Wananchi wanapaswa kujua kipi kinapaswa kufanywa kwa wagombea wanaokiuka miongozo hiyo ya mchakato wa uchaguzi mkuu.Mchakato wa kupata tiketi ya kugombea Urais ni kwamba unatakiwa upitishwe na chama na baada ya kupitishwa na chama unaenda kutafuta wadhamini katika mikoa ya Tanzania bara na visiwani Zanzibar.
Kilichotakiwa ni kupata wadhamini kwa wanachama wa chama chako na hii haiitaji kupiga makele mengi au kukosoa au kuwatukana wengine Bali chama kilitakiwa kiweke utaratibu wa kuwapata wadhamini bila mikutano mikubwa yenye kutumia hela nyingi utaratibu wa sasa kama tunavyoona kwa chadema ni kama kampeni sasa zimeanza maana mgombea kupitia chama hicho kila anakopita nikuiponda Serikali na hasa personal attacks kwa rais JPM. Kwenye kuhutubia wananchi anatoa vitisho na ahadi nyingi. kwangu Mimi sioni tofauti ya kusaka wadhamini na kampeni.
Tume ya uchaguzi ilitakiwa itoe ufafanunuzi wadhamini wanatafutwaje na ni kina nani hao .kwa utaratibu wa sasa naona ni kupoteza muda,kupoteza fedha, kuanza kampeni mapema nk.Next time NEC ije na utaratibu mwingine siyo huu wa sasa.
Ni kama wakat ule utotoni unaanza kudhani unaweza kumpiga fulani kirahisi ila ngumi zikianda ukapewa za uso unaanza kulalamika ooooh hakuna za uso.... na wakat we ukipata nafas unamtandika fulani za uso....Uwe na aibu basi, mbona CCM hujawasema ambao wamefanya kampeni miaka yote mitano? Hivi binadamu tukoje sie au ndio "nyani haoni kundule"? CCM walichokifanya jana taifa hujakiona sio? Mengine tujifunze kunyamaza basi.
LisuNani ametukana?
Mchakato wa kupata tiketi ya kugombea Urais ni kwamba unatakiwa upitishwe na chama na baada ya kupitishwa na chama unaenda kutafuta wadhamini katika mikoa ya Tanzania bara na visiwani Zanzibar.
Kilichotakiwa ni kupata wadhamini kwa wanachama wa chama chako na hii haiitaji kupiga makele mengi au kukosoa au kuwatukana wengine Bali chama kilitakiwa kiweke utaratibu wa kuwapata wadhamini bila mikutano mikubwa yenye kutumia hela nyingi utaratibu wa sasa kama tunavyoona kwa chadema ni kama kampeni sasa zimeanza maana mgombea kupitia chama hicho kila anakopita nikuiponda Serikali na hasa personal attacks kwa rais JPM. Kwenye kuhutubia wananchi anatoa vitisho na ahadi nyingi. kwangu Mimi sioni tofauti ya kusaka wadhamini na kampeni.
Tume ya uchaguzi ilitakiwa itoe ufafanunuzi wadhamini wanatafutwaje na ni kina nani hao .kwa utaratibu wa sasa naona ni kupoteza muda,kupoteza fedha, kuanza kampeni mapema nk.Next time NEC ije na utaratibu mwingine siyo huu wa sasa.
Rais wetu HUKUMUONA alivyokuwa anafanya kampeni miaka yote mitano na kugawa pesa mitaani ! !!??? Juzi alipokuwa anaenda kuchukua form CCM makao makuu mbona alipiga kampeni. !! TUACHE DOUBLE STANDARD hii Nchi ni yetu wote.Mchakato wa kupata tiketi ya kugombea Urais ni kwamba unatakiwa upitishwe na chama na baada ya kupitishwa na chama unaenda kutafuta wadhamini katika mikoa ya Tanzania bara na visiwani Zanzibar.
Kilichotakiwa ni kupata wadhamini kwa wanachama wa chama chako na hii haiitaji kupiga makele mengi au kukosoa au kuwatukana wengine Bali chama kilitakiwa kiweke utaratibu wa kuwapata wadhamini bila mikutano mikubwa yenye kutumia hela nyingi utaratibu wa sasa kama tunavyoona kwa chadema ni kama kampeni sasa zimeanza maana mgombea kupitia chama hicho kila anakopita nikuiponda Serikali na hasa personal attacks kwa rais JPM. Kwenye kuhutubia wananchi anatoa vitisho na ahadi nyingi. kwangu Mimi sioni tofauti ya kusaka wadhamini na kampeni.
Tume ya uchaguzi ilitakiwa itoe ufafanunuzi wadhamini wanatafutwaje na ni kina nani hao .kwa utaratibu wa sasa naona ni kupoteza muda,kupoteza fedha, kuanza kampeni mapema nk.Next time NEC ije na utaratibu mwingine siyo huu wa sasa.
Huna hoja wewe.Tofautisha tamasha na kutafuta wadhamini.lakini kama na hili ni kosa nalo linaitaji kukemewa!!
Yote heri!Lissu sio mwanasiasa na ukimuangalia,kaja julipiza kisasi kwa waliompiga risasi
NEC ipo mfukoni kwa Jiwe..Hilo unaloshauri haliwezekani abadaniKama ni campaign nalo hili ni kosa .ndiyo maana nilasema next time NEC ije na utaratubu mwingine .mgombea akishapitishwa na chama campaign imeanze Mara moja
Katukanaje?Lisu