Ivi kwamfano ww ukaambiwa kabati limedondoka twende ukasaidie ...hapo ni kabati kweli au msosi tayari??? Kwahyo kama akili zikiwa fupi utajua ni kweli kabati limedondoka .....lakin Ujumbe ni tofautiNaomba mniandikie tusi moja lililopo kwenye huo wimbo
Nenda shule dogo acha fujo.Watz ni wanafiki sana km.msemavyo yaan hawana jema..wakina roma waliimba sana ngoma fulan amazing ila kuna mijitu ikadis kuwa anaikosoa serikali sana na kujikuta had kutekwa haya wakiimba kibamia shida inafungiwa sasa waimbe nini wasanii watz yaan kuna muda naona kabisa watz sisi hatujitambui kabisa ktk hili pumbavvv tutaendelea kupelekeshwa sana
Tanzania tanzania nchi yenye Mara nyingi watu wote wa ulaya wana ililia sana tuliona ndege wengi chini wakitia fola Kama mtoto wa nyumbani, sisi kwa level za unafiki hutuwezi maadili yapi ujue kuna watu walikaa wakaanzinsha nyuzi ufungiweWatz ni wanafiki sana km.msemavyo yaan hawana jema..wakina roma waliimba sana ngoma fulan amazing ila kuna mijitu ikadis kuwa anaikosoa serikali sana na kujikuta had kutekwa haya wakiimba kibamia shida inafungiwa sasa waimbe nini wasanii watz yaan kuna muda naona kabisa watz sisi hatujitambui kabisa ktk hili pumbavvv tutaendelea kupelekeshwa sana
Wangeenda Mombasa huko unalunch nyimbo yako safi basata hawatakugusaNahisi itakua poa sana waendel hata kenya huko wakalunch wapate hela maana bongo ishakua miyeyusho sasa
Tanzania tanzania nchi yenye Mara nyingi watu wote wa ulaya wana ililia sana tuliona ndege wengi chini wakitia fola Kama mtoto wa nyumbani, sisi kwa level za unafiki hutuwezi maadili yapi ujue kuna watu walikaa wakaanzinsha nyuzi ufungiwe
Kwahyo hayo ndiyo matusi yaliyopo kwenye huo wimbo?Ivi kwamfano ww ukaambiwa kabati limedondoka twende ukasaidie ...hapo ni kabati kweli au msosi tayari??? Kwahyo kama akili zikiwa fupi utajua ni kweli kabati limedondoka .....lakin Ujumbe ni tofauti
Mngereza ni mwalimu wangu FPA wakati nasoma option courses! Alikuwa anaikosoa sana BASATA sasa nashangaa anawahujumu wasanii.Hivi hili baraza lina wazimu gani? Sioni sababu ya kuifungia ile nyimbo kiukweli... Kwa style hii wasanii wetu watapata tabu sana. Ebu tusaidiane kwahili ile nyimbo ina tatizo kwani?!View attachment 930772
Kuna post huku huku jfNani alisema mbaya mkuu